kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,894
Habari wanasherehe wenzangu,
Kila siku ni sherehe na kila siku ni sikukuu, maisha mafupi na huku kwenye kugida ndiyo starehe zetu.
Wakuu baada ya miaka mingi ya kugida Beere! Naona sasa ni wakati wa kubadili chaka!
Bia nimekuwa ziwezi kunywa chini ya 7, ili gari liwake! Sasa hii imekuwa ikinisababishia maumivu makali ya hangover ahsubuhi yake.
Sijali kuhusu gharama za kunywa bia 12 kwa mara moja
Sasa kwenu wataalamu wa COCKTAILS , msaada wa ipi ina taste nzuri na alcohol percent ya maana.
Twende sawa wakuu.
Note: Picha kwa hisani za wadau humu Jamiiforum/uzi wa mshana jr
View attachment 1876841
Kila siku ni sherehe na kila siku ni sikukuu, maisha mafupi na huku kwenye kugida ndiyo starehe zetu.
Wakuu baada ya miaka mingi ya kugida Beere! Naona sasa ni wakati wa kubadili chaka!
Bia nimekuwa ziwezi kunywa chini ya 7, ili gari liwake! Sasa hii imekuwa ikinisababishia maumivu makali ya hangover ahsubuhi yake.
Sijali kuhusu gharama za kunywa bia 12 kwa mara moja
Sasa kwenu wataalamu wa COCKTAILS , msaada wa ipi ina taste nzuri na alcohol percent ya maana.
Twende sawa wakuu.
Note: Picha kwa hisani za wadau humu Jamiiforum/uzi wa mshana jr
View attachment 1876841