Walimu hawapewi mishahara,wanafunzi hawana madawati,hospital hakuna madawa,barabara mbovu,tabaka kati ya walionacho na wasio nacho linaongezeka,rushwa, ufisadi na wizi wa mali za umma unashika kasi!je,unasubiri mungu ashuke mwenyewe ili ayamalize haya matatizo?kama haupo tayari kushiriki kwenye...