Wadau mambo vip? Kuna mdau anaenda kufanya Oral ya Trade officer 16 April 2026? Au aliyewahi kufanya oral kwa kada hiyo atupe hints.
Thanks by Msaka asali.
Uliandika barua mkoa gani mkuu? Mimi mwezi wa tatu niliandika barua ya kuomba kuhamisha malipo kwenda kweny uchangiaji wa Hiari haikupita week 2 nikapigiwa simu na kutumiwa sms nikajaze fomu za withdrawal benefits supplementary.
Fomu nilijaza tarehe 22 mwezi wa 3 ila Juzi nimepokea muamala...
Wanadai OATS hawawezi kufanya maana kuna shida ya Venue vyuo vimefunguliwa.
Lakini pia Multiple Choice kweny karatasi zinakua ndefu na muda unakua kama hautoshi wale tuliofanya Customer Service juzi waliona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.