Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 44,816
- 132,518
Na wewe uliyeolewa na Abdul, una faida gani zaidi ya hii ya kuua hovyo vijana wetu wasio na hatia?Yule dada ambaye msingi wake mkuu ni kuolewa na wazungu.
Ndio kakamata akili zao.
Anaiharibu hii nchi akiwa na wazungu wake huko ulaya.
Wanaoumia ni watoto wenzake wakwake wako salama huko marekani.
Wasipomshtukia na kumpuuza ataharibu hii nchi akitokea Instagram na twitter.