Recent content by kitanesi

  1. K

    Alphonce Lusako: Nina haki na mimi kusoma chuo

    and man has just graduated today
  2. K

    Natafuta eneo la kukodi...kuuza chakula na min pub

    Msaada Jamvini natafuta frame ama eneo naloeza weka pub na restaurant...Dar es salaam Sinza mwenge Survey itapendeza....au hata mawasiliano 300k bajeti
  3. K

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Natafuta Huawei honor 8X used 300k Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Fursa Singida kwa sisi Diaspora

    Unauza simu used ?? Huawei used zipo? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. K

    Ni ipi ligi bora kati ya La Liga na EPL?

    Sasa hiyo Ni bongo sio Duniani
  6. K

    Ni ipi ligi bora kati ya La Liga na EPL?

    Laliga wewe
  7. K

    Natafuta kazi daktari wa kinywa na meno ngazi ya diploma

    Hello unaweza place braces ? If yes nipe update niPM
  8. K

    Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

    Hello be k Hello now naeza ipata???
  9. K

    Aliyewahi Kutumia tv aina ya Star x na Evvoli

    Natumia star X na DStv Mambo Ni balaa namzidi hata mtu mwenye Samsung anaetumia zuku na Azam kwenye quality ya picha na sauti
  10. K

    Friji yangu inawaka na kuzima

    Habari za wakati huu wanajamvi wataalamu wa Mambo ya umeme naomba msaada,Nina kofriji kidogo nikikonect na umeme kinawaka kama dk moja kinazima, halafu baadae kinajiwasha Tena kinazima hivyo hivyo sijui tatizo Ni Nini naomba mnisaidie kutambua tatizo na Kama Kuna fundi mitaa ya karibu na...
  11. K

    Breaking News! Waziri wa DARUSO aokolewa kudisco! Walimu wambeba !

    Ni sahihi Sana huyo jamaa na CCM kawaitia polisi wenzie alijiona usalama wa taifa alitamba Sana hapo viungani kipikipiki posta Cha watawala hiyo Ni laana takatifu
Back
Top Bottom