Msaada Jamvini natafuta frame ama eneo naloeza weka pub na restaurant...Dar es salaam Sinza mwenge Survey itapendeza....au hata mawasiliano 300k bajeti
Habari za wakati huu wanajamvi wataalamu wa Mambo ya umeme naomba msaada,Nina kofriji kidogo nikikonect na umeme kinawaka kama dk moja kinazima, halafu baadae kinajiwasha Tena kinazima hivyo hivyo sijui tatizo Ni Nini naomba mnisaidie kutambua tatizo na Kama Kuna fundi mitaa ya karibu na...
Ni sahihi Sana huyo jamaa na CCM kawaitia polisi wenzie alijiona usalama wa taifa alitamba Sana hapo viungani kipikipiki posta Cha watawala hiyo Ni laana takatifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.