johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,937
- 141,911
Mambo yaliyosikika kutokea Meatu mkoani Simiyu na Liwale na maeneo mengine ya Mikoa ya Kusini yanasikitisha sana.
Ninaandika haya baada ya kushuhudia wananchi wa Lindi wakikitaja chama kimoja cha Upinzani kinachoongozwa na Profesa anayeheshimika duniani kwamba kinahusika na hii " choma choma" ya nyumba na magari viongozi wa CCM na Serikali.
Huu siyo utamaduni wa kitanzania, kama unaamini Umefelishwa kwenye Ubunge au udiwani isivyo halali nenda Mahakamani ukadai haki yako badala ya kujigeuza jambazi wa kuchoma mali za washindi.
Wanasiasa hasa wa kusini acheni " Ushamba" jifunzeni kwa wenzenu wa kaskazini wanaofanya siasa za kistaarabu.
Maendeleo hayana vyama!
Ninaandika haya baada ya kushuhudia wananchi wa Lindi wakikitaja chama kimoja cha Upinzani kinachoongozwa na Profesa anayeheshimika duniani kwamba kinahusika na hii " choma choma" ya nyumba na magari viongozi wa CCM na Serikali.
Huu siyo utamaduni wa kitanzania, kama unaamini Umefelishwa kwenye Ubunge au udiwani isivyo halali nenda Mahakamani ukadai haki yako badala ya kujigeuza jambazi wa kuchoma mali za washindi.
Wanasiasa hasa wa kusini acheni " Ushamba" jifunzeni kwa wenzenu wa kaskazini wanaofanya siasa za kistaarabu.
Maendeleo hayana vyama!