Recent content by Kitandu Nkoru

  1. Kitandu Nkoru

    From the novel: The robot rebellion

    Hahahah na mimi huwa simuelewi,kasababisha nichukie kusoma novel
  2. Kitandu Nkoru

    From the novel: The robot rebellion

    Karibuni tumjadili huyu mwandishi David Icke
  3. Kitandu Nkoru

    From the novel: The robot rebellion

    Most of the main players in the Nazi regime, probably including Hitler, escaped. He and his lady Eva Braun did not die in the bunker,as history urges us to believe. At least some of them went to South America. From the views and evidence I have heard and seen, I believe that Hitler was flown...
  4. Kitandu Nkoru

    Uingereza haina uwezo wa kupigana na Urusi hata kwa miezi 2

    Hizo ni propaganda tu.Uingereza akipigana vita na urusi ujue watoto wake hawatokaa kimya.
  5. Kitandu Nkoru

    Nyie wachora ramani waongo sana

    Hii thread haijashiba na uache kuchafua taaluma za watu. Ukubwa wa kiwanja hauainisha hapa,na pia eneo lilipo kiwanja haujaweka hapa.
  6. Kitandu Nkoru

    Rais Samia atengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Wakurugenzi wa TTB na NCAA

    Ndiyo,siyo wakabila. Naishi hapa hapa Tz mnama. Sema mnawaogopa sana hizi kabila mbili ila nikueleze tu wachagga hatuna ukabila ndo kila mkoa tunaishi tofauti na nyie waeneza chuki na ukabila. Kuna ukabila kibao tu zina ukabila kinoma na huwa naushuhudia sana tu ila naishi nao kirasta tu.
  7. Kitandu Nkoru

    Rais Samia atengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Wakurugenzi wa TTB na NCAA

    Hakuna ukweli wowote,na hakuna namna unaweza kuthibitisha.
  8. Kitandu Nkoru

    DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Mtoto alikuwa mzima hadi alipopata adhabu,baada ya kupata adhabu ya kuchapwa/na kupigwa na kupoteza maisha ndo inasemekana ni cancer,hapa ndo nashindwa kuelewa
  9. Kitandu Nkoru

    DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Sasa hiyo cancer imempata baada ya kupata adhabu?
  10. Kitandu Nkoru

    DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Kwa nini afariki kwa kansa baada ya kupigwa/kuadhibiwa na mwalimu?
Back
Top Bottom