Rais yeye mwenyewe, PM Rostitam Aziz, Makamu Hussein Basha, spika Serukyamba, Jasusi namba 1 A. Mwang'o...
My take; hilo litakuwa the most hopeless cabinet ever existed tangu Uhuru.
Watu wengi hawaujui huu ukweli kuwa ugomvi kati ya Mengi na Muhongo ndiyo umezalisha yote hayo. Bongo ni upuuzi mtupu! Siasa chafu tu ndo zimetawala. Majitu ni rahisi kununuliwa kwa vifedha na wafanyabiashara uchwara!
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina...
Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Songea unahujumiwa na Chadema, mmoja wa washirika wa UKAWA.
Leo katika soko kuu Songea kumefanyika mkutano wa UKAWA lakini mwanzo mwisho mkutano huo umetawaliwa na kaulimbiu za peopleeeees, power!. Aidha mwanzo mwisho jamaa walikuwa wananadi chadema tu wakati...
UKAWA taraatiiiiiiiibu inayeyuka na sura za uvyama kwenye umoja huu taratiiiiibu zinajitokeza. Kwa wafuatiliaji wa vituko vya.hao.jamaa naamini mtakubaliana nami!
We can't simply let the security of our Nation be jeopardized by the mere hooligans chadema members!. We swear to protect our people at whatever cost of property and blood, enough is enough!
J.K is the greatest politicians ever appeared in TZ, agree or not!. The man knows well how to maneuver!. UKAWA have wholy entered "The trap"! Safi J.K, komaa nao kwani ulishawajulia hao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.