Hao ndio mmoja wapo atakuwa raisi.watanzania tusichanganywe na makundi ya watu wanao tajwa tajwa hiyo kutuzubaisha watanzania ili tushindwe kuwafuatilia udhaifu wao .
x.Dr.Slaa kutokana na kuwa bado na mvuto kwa watanzania kwani tayari anao mtaji wa kura wa 2,272,634 ambazo alizipata mwaka 2010 .Tofauti na wenzake ambapo kura za kikwete zitabakia kuwa za kikwete na wala hazitakuwa za Membe wala Lowasa .Wao itabidi watumie busara kushawishi wapiga kura.
Changamoto ambazo Slaa atakuta nazo kama atapita itambidi kuteua waziri mkuu toka wabunge wa ccm kwani kutokana katiba ya 1977 na hii mpya inayojadiliwa kuwa na vipengere vinavyo tamka kwamba waziri mkuu atachaguliwa kutoka chama chenye wabunge wengi ,psrq
Watanzania tuanze kuwapima hao mapema kama wanatosha au hawatoshi kwa kuangalia vigezo vya uadilifu,uwajibikaji na kuvumiliana.
Karibuni .