CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

Mbona wa vyama vingine hawapo kwenye orodha yako? Mbona unalitumia vibaya jina la UKAWA?

Subiri dawa iwaingie,ukawa wawaeleze wanamwanza jinsi ccm ilivyofuta ibara ya 16 (a) inayozuia kufungua akaunti nje, ibara 17 inayomtaka kiongozi kutangaza mali zake,na ile ya 20(a)-c inayoruhusu kutwaa mali zilizopatikana kwa kukiuka sheria, maadili na miiko ya uongozi kama kupokea zawadi toka njw na ndani ya nchi kwenye makampuni au kuwa na kampuni mfano hisa ndani ya vodacom,ccm wameyafut!
 
Ama kweli Mnyamwezi ni Mnyamwezi habadiliki,hivi we Professa mzima unakua matakoni kwa Mbowe namna hiyo,chama chako kilikuwa maarufu hadi kutikisa nchi,umeshindwa kukiendeleza leo unakaa matakoni mwa hao wachaga,subiri wakufix

Ungemwambia akae matakoni kwa mama yako. Kwani mama yako kabila gani?
 
siuoni ukawa hapo zaidi ya magwanda. acheni kujificha nyuma ya ukawa, jitambulisheni wenyewe kama magwanda.
Mtumwa ni mtumwa tu,hata akisaidiwa kupata uhuru bado atatamani utumwa maana amezoea kutumikishwa
 
Ama kweli Mnyamwezi ni Mnyamwezi habadiliki,hivi we Professa mzima unakua matakoni kwa Mbowe namna hiyo,chama chako kilikuwa maarufu hadi kutikisa nchi,umeshindwa kukiendeleza leo unakaa matakoni mwa hao wachaga,subiri wakufix

Ccm inawauma sana kuona mbowe anavyokijenga chama,sasa mmebaki na matusi na kwa taarifa yako cuf ,nccr mageuzi zitaungana na chadema na Lipumba na Mbatia unajua cheche zimeanza bungeni hapatatosha 2015 ,mwisho wa chama chenu kilicholea ufisadi uliowafikisha hapa umefika,wanamwanza,shinyanga baada ya kuchimba almasi na dhahabu zao miaka mingi bila kuwajengea shule bora,chuo kikuu kizuri,viwanja vya mpira vizuri,barabara bora,na maji ya kutosha wameamua bye bye ccm kabda ya ziwa,
Nendeni kwa mjinga wenu shibuda!
 
Ccm inawauma sana kuona mbowe anavyokijenga chama,sasa mmebaki na matusi na kwa taarifa yako cuf ,nccr mageuzi zitaungana na chadema na Lipumba na Mbatia unajua cheche zimeanza bungeni hapatatosha 2015 ,mwisho wa chama chenu kilicholea ufisadi uliowafikisha hapa umefika,wanamwanza,shinyanga baada ya kuchimba almasi na dhahabu zao miaka mingi bila kuwajengea shule bora,chuo kikuu kizuri,viwanja vya mpira vizuri,barabara bora,na maji ya kutosha wameamua bye bye ccm kabda ya ziwa,
Nendeni kwa mjinga wenu shibuda!

Na mkiungana mgombea urais safari hii atoke Zanzibar.
 
Subiri dawa iwaingie,ukawa wawaeleze wanamwanza jinsi ccm ilivyofuta ibara ya 16 (a) inayozuia kufungua akaunti nje, ibara 17 inayomtaka kiongozi kutangaza mali zake,na ile ya 20(a)-c inayoruhusu kutwaa mali zilizopatikana kwa kukiuka sheria, maadili na miiko ya uongozi kama kupokea zawadi toka njw na ndani ya nchi kwenye makampuni au kuwa na kampuni mfano hisa ndani ya vodacom-+wameyafut!
aisee, ina maana kama hii sheria ingelikuwepo hizo suti wanazosemaga zingelikuwa mali ya umma!?

 
Mbowe amerudi lini kutoka kula bata na warembo afrika kusini? Kesho ataongea pumba halafu akimbilie kujificha Dubai na warembo huku akitumbua pesa za ruzuku ya chama

Wewe utakuwa ni mmoja wa hao warembo
Lakin bahat mbaya wewe stahiki yako ni Guest za Keko Mchungwa,Pretoria na Utapasikia kwenye Bomba
 
mkuu, mbowe karudi juzi na jana kahojiwa na bbc hata anachoongea hakieleweki. Nadhani alikuwa na hanging over za starehe za south.

ukisikia mtu anaongea sehemu yoyote na ukashindwa kuelewa anachokiongea,tambua kwamba mtu huyo anakuzidi maarifa! Ikitokea umeelewa anachokiongea fahamu kwamba uwezo wake na wako unafanana!
 
UKAWA taraatiiiiiiiibu inayeyuka na sura za uvyama kwenye umoja huu taratiiiiibu zinajitokeza. Kwa wafuatiliaji wa vituko vya.hao.jamaa naamini mtakubaliana nami!
 
Nilifikiri UKAWA ni NCCR CDM na CUF.Kumbe kama ilivyo USA na NATO.wengine wanafanywa vifaranga!!! ni dharau sana.
 
wapiiii, wachaga wamewekeza hapo ufahamu kwamba hapo Mbatia ana thamani sana kuliko Lipumba. subiri ikaribie uchaguzi uone umafia kama CUF hawajalia machozi ya damu,walikuwa na viti vitatu bara sasa wasahau kabisa
 
Tunautakia kila la kheri mkutano wa Chadema pamoja na counterpart wote wa Ukawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom