Recent content by kitaboy

  1. kitaboy

    Financial market expert tukutane hapa

    Hahahaa ulipomtaja sir jeff sasa[emoji3][emoji3][emoji2] anyway namjua na yule wa mwanza aliyewah kupewa tuhuma za kuchukua hela za watu kama sikosei anaitwa Fireforex, Lakin mkuu kwa nn umemtaja Sirjeff kama hana hela ilihal ndio mhamasishaji nambari moko katika hili, Any views? Sent using...
  2. kitaboy

    Financial market expert tukutane hapa

    Asante mkuu unanihamasishaje kama kijana kwa kupiga picha kwenye vyumba na bakoni za hoteli kali kali, mngehamasisha kwa kupiga picha miradi yenu au majengo yenu yaliyotokana na forex! Naomba kuwasilisha Mh. Admin of zis thread Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kitaboy

    Financial market expert tukutane hapa

    Niwaulize wakuu ili upate hela kwenye hii biashara yeni ya forex ni lazima ufanye yafuatayo?:- 1. Uvae suti hasa za kubana mwili na moka ya kung'aa 2. Ni lazima uwe mtu wa quotes na kulazimisha watu wakuelewe 3. Ni lazima ukonfisi watu kuifanya biashara ufanyayo? Kwamba mna roho zuri sana...
  4. kitaboy

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ngoja atupe majibu, na hata mm ninae jua linaanza na E.... Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kitaboy

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hata mm aisee sio yule mwalimu wa chuo cha kitoa certificate na diploma kule kanda ya kaskazin Sent using Jamii Forums mobile app
  6. kitaboy

    Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

    Duuuh masikini kumbe Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kitaboy

    Mbagala muda huu tupo gizani, nikisema Makamba hafai mnaona nina nongwa

    Team praise! Nashangaa mtu anapotetea ufanisi mbovu inanipa mashaka vile alivyo mwenyewe Sent using Jamii Forums mobile app
  8. kitaboy

    Kama mke wako ni pisi Kali na anafanya kazi kwenye makao makuu ya halmashauri au kwa DC nakuapia wale vijana wa idara pendwa wakimtaka hachomoi

    Kulikon mkuu, saa kumi za usiku sasa hivi, uko kitandani unawaza vitu viwili 1. Idara pendwa 2. Pisi kali ya mtu kuliwa Mkuu maisha mepesi sana if you take it easy, na maisha ni magumu sana if you realy complicate it Sent using Jamii Forums mobile app
  9. kitaboy

    Wachina wanatorosha madini yetu

    Kwa sasa ukitoa taarifa nadhani ni kama kipindi kilee yanakurudia mwenyewe, naumia sana ninapoona mali zinaibwa kisha tunaomba misaada kila mahali Sent using Jamii Forums mobile app
  10. kitaboy

    Wachina wanatorosha madini yetu

    Namkumbuka jiwe, Hapo hata wachina wenyewe wasingefika huko kuiba ile kusikia hii nchi ipo chini ya utawala wa amri jeshi mkuu JPM, ilikuwa ni dawa tosha ya wizi wa mali asili zetu. Yan hatumii nguvu mzee baba. Keep resting Lovely Prezidaa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. kitaboy

    Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    [emoji2][emoji2][emoji3] asante kiongozi, tusi lako soft sana inaonekana una busara na unaishi kishkaji, kishkaj hapo hujanitusi ila umerusha swaga tu, Mkuu ww ni pimb*i ila tusongeshe mada brother kama nimekukwaza mahali perceive it peacefuly... Sent using Jamii Forums mobile app
  12. kitaboy

    Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Pili kupata leseni kama alivyopata yeye sio kazi wala sio garama, otherwise anataka kukupiga hela kwa kukukodishia leseni Sent using Jamii Forums mobile app
  13. kitaboy

    Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

    R.I.P Current shujaa wa Africa. Uliipenda nchi yako zaidi ya neno upendo wenyewe. We miss you Dady! Sote tunapita[emoji2211][emoji2211][emoji2211] Sent using Jamii Forums mobile app
  14. kitaboy

    Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

    We jamaa nae, hkuna polisi muongeaji ongeaji mitandaoni hivi, hasa kuongea chuya chuya namna hii
  15. kitaboy

    Katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?

    Hawatakuelewa mkuu, kujenga nasupport sana, ila usijengee kichache ulicho nacho huo ni unaaa, unaishi kajumba kazuri yes, fensi safi yes, vigae yes ila mfukon empty, huna mradi wa kuingiza kipato unaa. Jifunze kwa wahindi wamepanga National housing pale Kariakoo, Tazara tena zimechoka full...
Back
Top Bottom