Hahahaa ulipomtaja sir jeff sasa[emoji3][emoji3][emoji2] anyway namjua na yule wa mwanza aliyewah kupewa tuhuma za kuchukua hela za watu kama sikosei anaitwa Fireforex,
Lakin mkuu kwa nn umemtaja Sirjeff kama hana hela ilihal ndio mhamasishaji nambari moko katika hili,
Any views?
Sent using...
Asante mkuu unanihamasishaje kama kijana kwa kupiga picha kwenye vyumba na bakoni za hoteli kali kali, mngehamasisha kwa kupiga picha miradi yenu au majengo yenu yaliyotokana na forex!
Naomba kuwasilisha Mh. Admin of zis thread
Sent using Jamii Forums mobile app
Niwaulize wakuu ili upate hela kwenye hii biashara yeni ya forex ni lazima ufanye yafuatayo?:-
1. Uvae suti hasa za kubana mwili na moka ya kung'aa
2. Ni lazima uwe mtu wa quotes na kulazimisha watu wakuelewe
3. Ni lazima ukonfisi watu kuifanya biashara ufanyayo? Kwamba mna roho zuri sana...
Kulikon mkuu, saa kumi za usiku sasa hivi, uko kitandani unawaza vitu viwili
1. Idara pendwa
2. Pisi kali ya mtu kuliwa
Mkuu maisha mepesi sana if you take it easy, na maisha ni magumu sana if you realy complicate it
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa ukitoa taarifa nadhani ni kama kipindi kilee yanakurudia mwenyewe, naumia sana ninapoona mali zinaibwa kisha tunaomba misaada kila mahali
Sent using Jamii Forums mobile app
Namkumbuka jiwe,
Hapo hata wachina wenyewe wasingefika huko kuiba ile kusikia hii nchi ipo chini ya utawala wa amri jeshi mkuu JPM, ilikuwa ni dawa tosha ya wizi wa mali asili zetu.
Yan hatumii nguvu mzee baba.
Keep resting Lovely Prezidaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji3] asante kiongozi, tusi lako soft sana inaonekana una busara na unaishi kishkaji, kishkaj hapo hujanitusi ila umerusha swaga tu,
Mkuu ww ni pimb*i ila tusongeshe mada brother kama nimekukwaza mahali perceive it peacefuly...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pili kupata leseni kama alivyopata yeye sio kazi wala sio garama, otherwise anataka kukupiga hela kwa kukukodishia leseni
Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P Current shujaa wa Africa. Uliipenda nchi yako zaidi ya neno upendo wenyewe.
We miss you Dady!
Sote tunapita[emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawatakuelewa mkuu, kujenga nasupport sana, ila usijengee kichache ulicho nacho huo ni unaaa, unaishi kajumba kazuri yes, fensi safi yes, vigae yes ila mfukon empty, huna mradi wa kuingiza kipato unaa.
Jifunze kwa wahindi wamepanga National housing pale Kariakoo, Tazara tena zimechoka full...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.