kitaboy
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 341
- 1,224
Niwaulize wakuu ili upate hela kwenye hii biashara yeni ya forex ni lazima ufanye yafuatayo?:-
1. Uvae suti hasa za kubana mwili na moka ya kung'aa
2. Ni lazima uwe mtu wa quotes na kulazimisha watu wakuelewe
3. Ni lazima ukonfisi watu kuifanya biashara ufanyayo? Kwamba mna roho zuri sana kuliko wa madhabahuni
4. Ni lazim mpige picha kwenye hotel kali kali, na caption za kuonesha wengine duniani wamekuja kucheza [emoji3][emoji3]
5. Ni lazima muoneshe mikoko mikali, japo asilimia 90 yenu huwa plate number hazioneshwi.
6. Ni lazima upost kapicha kakuonesha unafunza kikundi cha watu fulani wakiwa na vinote book na kalamu?
Naombeni mnijibu kama hii ni moja ya kanuni zenu versus jamii inayowaona.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Uvae suti hasa za kubana mwili na moka ya kung'aa
2. Ni lazima uwe mtu wa quotes na kulazimisha watu wakuelewe
3. Ni lazima ukonfisi watu kuifanya biashara ufanyayo? Kwamba mna roho zuri sana kuliko wa madhabahuni
4. Ni lazim mpige picha kwenye hotel kali kali, na caption za kuonesha wengine duniani wamekuja kucheza [emoji3][emoji3]
5. Ni lazima muoneshe mikoko mikali, japo asilimia 90 yenu huwa plate number hazioneshwi.
6. Ni lazima upost kapicha kakuonesha unafunza kikundi cha watu fulani wakiwa na vinote book na kalamu?
Naombeni mnijibu kama hii ni moja ya kanuni zenu versus jamii inayowaona.
Sent using Jamii Forums mobile app