Katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?

Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi.

Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki ngome yake.

So mwana jamii, katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?

Be honest.
39yrs
 
28..29 nikahamia kwangu nikakaa miezi 4 nikarudi kupanga kati coz nilihisi nipo gerezani.
kampani ilikata, teki nikawa nalisikia tu.
ukichelewa hadi saa 3 usiku unakuta dalili za uporwaji getini.
nikaona isiwe shida nikarudi kati kwa wana.
kujenga sio furaha ya mwisho
Ningekuwa Karibu ningekubatua na bonge la banzi, Dume zima unakuwaje muoga??.
 
Niwaibie siri vijana
Waliojenga nyumba wala hawaishi maisha mazuri kupitia hizo nyumba zao.
Ukiwa na pesa unaweza kumtuma vocha dukani mama mwenye nyumba na baba mwenye nyumba anashingilia
Hawatakuelewa mkuu, kujenga nasupport sana, ila usijengee kichache ulicho nacho huo ni unaaa, unaishi kajumba kazuri yes, fensi safi yes, vigae yes ila mfukon empty, huna mradi wa kuingiza kipato unaa.

Jifunze kwa wahindi wamepanga National housing pale Kariakoo, Tazara tena zimechoka full masizi, ila miradi waliyo nayo hawana njaa njaa! Wanaridhisha biashara tu kizazi kwenda kizazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilianza ujenzi 2012 nikiwa na age ya 35, nikahamia 2015 ikiwa bado haijakamilika kwa sasa nimeikamilisha kwa asilia 98. Mpaka ilipofikia imeshatumia 50m plus mapaka sasa.

Nikapata 15m itakamilika kwa kiwango nilichopanga.

Nategemea 2025, nianze ujenzi wa nyumba ya kupangisha Dodoma, lengo niwe na nyimba 2 za kupangisha
 
Nilianza ujenzi 2012 nikiwa na age ya 35, nikahamia 2015 ikiwa bado haijakamilika kwa sasa nimeikamilisha kwa asilia 98. Mpaka ilipofikia imeshatumia 50m plus mapaka sasa.

Nikapata 15m itakamilika kwa kiwango nilichopanga.

Nategemea 2025, nianze ujenzi wa nyumba ya kupangisha Dodoma, lengo niwe na nyimba 2 za kupangisha
Mungu aendelee kukupa uimara na wepesi. Hongera mkuu.
 
Nijenge? Ili iweje wakati Duniani tumekuja kutimiza vitu vitatu tu

1.KULA
kwa maana ya nyama china Zote, savanna n.k atakula nani,

2.KULALA
yaani wewe ujenge na Mimi nijenge nani atampangisha mwenzie,hizi apartments & lodge hapa mjini atakaa nani

3.KUDINYANA
Yaani Pisi Kali za town niziache ukiuliza najenga, najenga Nini, nyumba anayo Kobe Tena anatembea nayo sembuse wewe unayeiacha


Akili kichwani
 
28..29 nikahamia kwangu nikakaa miezi 4 nikarudi kupanga kati coz nilihisi nipo gerezani.
kampani ilikata, teki nikawa nalisikia tu.
ukichelewa hadi saa 3 usiku unakuta dalili za uporwaji getini.
nikaona isiwe shida nikarudi kati kwa wana.
kujenga sio furaha ya mwisho
Duh kwani ulijenga kwenye mtaa wa vibaka?+
 
Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi.

Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki ngome yake.

So mwana jamii, katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?

Be honest.
Nategemea mwakani nikistaafu,,
 
Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi.

Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki ngome yake.

So mwana jamii, katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?

Be honest.
Unaongelea nyumba au kibanda cha kujihifadhi? Nyoosha maelezo.
 
Back
Top Bottom