_ID
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,409
- 7,399
watu wanajisahau kabisa kwamba "dunia sio yao" mpaka wanaanza kujengaWaliohamia Duniani tunangoja majibu yao
watu wanajisahau kabisa kwamba "dunia sio yao" mpaka wanaanza kujengaWaliohamia Duniani tunangoja majibu yao
Mm hua nanunua bia, sinunui bati zitanikata mikonoEti niache kununua Chips na Bia halafu nikanunue Mchanga na Mawe.
Kumbukeni hapa Duniani tunapita
39yrsTunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi.
Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki ngome yake.
So mwana jamii, katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?
Be honest.
Ningekuwa Karibu ningekubatua na bonge la banzi, Dume zima unakuwaje muoga??.28..29 nikahamia kwangu nikakaa miezi 4 nikarudi kupanga kati coz nilihisi nipo gerezani.
kampani ilikata, teki nikawa nalisikia tu.
ukichelewa hadi saa 3 usiku unakuta dalili za uporwaji getini.
nikaona isiwe shida nikarudi kati kwa wana.
kujenga sio furaha ya mwisho
We ni fisadi au mtoto wa kishua?21 nyumba ya kwanza,2011, 28 nyumba ya pili, 29 nyumba ya tatu.
Hawatakuelewa mkuu, kujenga nasupport sana, ila usijengee kichache ulicho nacho huo ni unaaa, unaishi kajumba kazuri yes, fensi safi yes, vigae yes ila mfukon empty, huna mradi wa kuingiza kipato unaa.Niwaibie siri vijana
Waliojenga nyumba wala hawaishi maisha mazuri kupitia hizo nyumba zao.
Ukiwa na pesa unaweza kumtuma vocha dukani mama mwenye nyumba na baba mwenye nyumba anashingilia
Hiyo ndio JF....wana JF wote matajiriDuh naona wengi wamejenga wakiwa na early 20s JF watu wako vizuri!
Mungu aendelee kukupa uimara na wepesi. Hongera mkuu.Nilianza ujenzi 2012 nikiwa na age ya 35, nikahamia 2015 ikiwa bado haijakamilika kwa sasa nimeikamilisha kwa asilia 98. Mpaka ilipofikia imeshatumia 50m plus mapaka sasa.
Nikapata 15m itakamilika kwa kiwango nilichopanga.
Nategemea 2025, nianze ujenzi wa nyumba ya kupangisha Dodoma, lengo niwe na nyimba 2 za kupangisha
Wenzako wana miaka 25 hata iyo hela ya kwenda kupanga hawana.Daaa wenzangu sijui waliwezaje kujenga na miaka 20.
Mimi niko 25 bado nakomaa kwenye upangaji na sioni dalili hata za kununua kiwanja
Kujenga ni uoga wa maisha..Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi.
Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki ngome yake.
So mwana jamii, katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?
Be honest.
Familia haikai nyumba ya kupanga?Kha!kha!,Sasa ukiwa na familia utaishije??.
Nijenge? Ili iweje wakati Duniani tumekuja kutimiza vitu vitatu tu
1.KULA
kwa maana ya nyama china Zote, savanna n.k atakula nani,
2.KULALA
yaani wewe ujenge na Mimi nijenge nani atampangisha mwenzie,hizi apartments & lodge hapa mjini atakaa nani
3.KUDINYANA
Yaani Pisi Kali za town niziache ukiuliza najenga, najenga Nini, nyumba anayo Kobe Tena anatembea nayo sembuse wewe unayeiacha
Akili kichwani
Duh kwani ulijenga kwenye mtaa wa vibaka?+28..29 nikahamia kwangu nikakaa miezi 4 nikarudi kupanga kati coz nilihisi nipo gerezani.
kampani ilikata, teki nikawa nalisikia tu.
ukichelewa hadi saa 3 usiku unakuta dalili za uporwaji getini.
nikaona isiwe shida nikarudi kati kwa wana.
kujenga sio furaha ya mwisho
Eti niache kununua Chips na Bia halafu nikanunue Mchanga na Mawe.
Kumbukeni hapa Duniani tunapita
Nategemea mwakani nikistaafu,,Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi.
Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki ngome yake.
So mwana jamii, katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?
Be honest.
Unaongelea nyumba au kibanda cha kujihifadhi? Nyoosha maelezo.Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi.
Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki ngome yake.
So mwana jamii, katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?
Be honest.
God speed mkuu.Nategemea mwakani nikistaafu,,
HaahaaNingesha jenga kitambo sema kiwanja kina mgogoro