Wachina wanatorosha madini yetu

Wachina wanatorosha madini yetu

Kutujulisha sisi unatutia hasira tu, bora hata ungepiga simu wizarani mbona namba zipo?
 
wamekuachisha kazi hapo mgodini ehh??
Sasa si uwaambie hao watendaji wa serikali ili wawabane wachina
Na hawa ndio watanzania ambao wengi wana ujinga kama huu na huu ni ujinga haswaa

Mtu anetoa taarifa kwa malengo mazuri kabisa dhidi ya wizi wa siri wa wageni dhidi ya rasilimali za taifa lakini wajinga na wasio nanuzalendo kama hawa wanaanza kukejeli kwakweli huu ni ujinga na kukosa uzalendo kwa taifa.
 
Na hawa ndio watanzania ambao wengi wana ujinga kama huu na huu ni ujinga haswaa

Mtu anetoa taarifa kwa malengo mazuri kabisa dhidi ya wizi wa siri wa wageni dhidi ya rasilimali za taifa lakini wajinga na wasio nanuzalendo kama hawa wanaanza kukejeli kwakweli huu ni ujinga na kukosa uzalendo kwa taifa.
Hii ndio aina ya watu wetu!! wana laana za unafiki!!
 
nashauri waongeze kuiba maana aliejaribu kudhibiti wizi wa mali zetu tulimpinga na kumtukana kwa nguvu zote.
 
Bwana mdogo usinilazimishe kabisa nikutamkie neno baya iwe laana kwako.

Sasa nakufuatilia ole wako nikukute hapo kwa shemeji yako umening'iniza poumbou sofani sebuleni unagombea remote na beki tatu utaniona.

Fanya kazi Aisee.

Amri!
Wewe nakuja, ulikuwa demu wangu!! sasa unanitolea povu, kwasababu nilikuacha!!
 
Kikwete aliwabidhi migodi wazungu,Yuko ulingoni tena,hivyo hakuna Cha ajabu.
 
Nipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.

Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!

Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha!!
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha!!
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
Si tuliambiwa TISS wako kila mahali vipi hapo hawapo?
 
Taaayariii nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho nilikuwa nataka na kutafuta na nimekipata. Nimekuvuta wee hadi ukaingia kimiani Am welcoming this weekend in style. I love this game jamvini. Inflicting pain to the victim without physical altercation. Tackling psychological in a technical way. It's so brutal and painful.
Huna lolote we boya!! uniwini ili iweje? huna unachokifahamu!! wewe ni aina ya watu walioenda shule ili wapate ajira! sio waelimike!!
 
Nipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.

Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!

Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha!!
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha!!
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
TANZANIA ni Shamba la BIBI kila Mtu RUKSA kuvuna Atakacho kwa sasa tuko Busy na UGAIDI
 
Namkumbuka jiwe,
Hapo hata wachina wenyewe wasingefika huko kuiba ile kusikia hii nchi ipo chini ya utawala wa amri jeshi mkuu JPM, ilikuwa ni dawa tosha ya wizi wa mali asili zetu.
Yan hatumii nguvu mzee baba.

Keep resting Lovely Prezidaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom