Mkuu wahusika wangenisumbua!! nimeamua kuiweka hapa, nikiamini wahusika wapo humu!Taarifa ulizotoa ni za muhimu sana ila ungezipeleka kwa wahusika ungeokoa pesa nyingi za taifa hili
wamekuachisha kazi hapo mgodini ehh??
Na hawa ndio watanzania ambao wengi wana ujinga kama huu na huu ni ujinga haswaaSasa si uwaambie hao watendaji wa serikali ili wawabane wachina
We ni mbususu kweli! endelea na umbususu wako!Ishi na jali maisha yako utakuwa na amani. Mwanaume ni kazi siyo umbea umbea tu kuchongea wanaume wenzako.
Nataka ufanye kazi.
Sauh'waaa!
Hii ndio aina ya watu wetu!! wana laana za unafiki!!Na hawa ndio watanzania ambao wengi wana ujinga kama huu na huu ni ujinga haswaa
Mtu anetoa taarifa kwa malengo mazuri kabisa dhidi ya wizi wa siri wa wageni dhidi ya rasilimali za taifa lakini wajinga na wasio nanuzalendo kama hawa wanaanza kukejeli kwakweli huu ni ujinga na kukosa uzalendo kwa taifa.
Wewe nakuja, ulikuwa demu wangu!! sasa unanitolea povu, kwasababu nilikuacha!!Bwana mdogo usinilazimishe kabisa nikutamkie neno baya iwe laana kwako.
Sasa nakufuatilia ole wako nikukute hapo kwa shemeji yako umening'iniza poumbou sofani sebuleni unagombea remote na beki tatu utaniona.
Fanya kazi Aisee.
Amri!
Si tuliambiwa TISS wako kila mahali vipi hapo hawapo?Nipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.
Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!
Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha!!
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha!!
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
Sukuma gangMtanikumbuka kwa mema.
Huna lolote we boya!! uniwini ili iweje? huna unachokifahamu!! wewe ni aina ya watu walioenda shule ili wapate ajira! sio waelimike!!Taaayariii nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho nilikuwa nataka na kutafuta na nimekipata. Nimekuvuta wee hadi ukaingia kimiani Am welcoming this weekend in style. I love this game jamvini. Inflicting pain to the victim without physical altercation. Tackling psychological in a technical way. It's so brutal and painful.
TANZANIA ni Shamba la BIBI kila Mtu RUKSA kuvuna Atakacho kwa sasa tuko Busy na UGAIDINipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.
Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!
Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha!!
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha!!
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
Nazani hapa hawapo!Si tuliambiwa TISS wako kila mahali vipi hapo hawapo?
Hapa lazima tupende nchi yetu, tukosoe kwa reasoningwamekuachisha kazi hapo mgodini ehh??
Kwenye kuwinda wapinzani na kusaidia ccm ishindeSi tuliambiwa TISS wako kila mahali vipi hapo hawapo?
Kwa sasa ukitoa taarifa nadhani ni kama kipindi kilee yanakurudia mwenyewe, naumia sana ninapoona mali zinaibwa kisha tunaomba misaada kila mahaliTANZANIA ni Shamba la BIBI kila Mtu RUKSA kuvuna Atakacho kwa sasa tuko Busy na UGAIDI
una IQ sawa na kukuIshi na jali maisha yako utakuwa na amani. Mwanaume ni kazi siyo umbea umbea tu kuchongea wanaume wenzako.
Nataka ufanye kazi.
Sauh'waaa!