We r making things very hard for ourselves. Bila kuangalia kabila wala nywele. Mwenye uchungu na nchi hii na mzalendo wa kweli atakaetufikisha mbali ingawa kuna baadhi ya mapungufu as of NO 1 IS PERFECT. Mh. Lowassa u deserve to lead this country sina ushabiki bali ni fikra zangu ninazoziamini...
Huyu hajielewi.... tanganyika au tanzania?? Wapo watu wachache kazi yao kubwa ni kuharibu.... embu tubadilike, chochezi hizi zitatufikisha wapi?? Masuala haya yanashughulikiwa na mamlaka husika na mada kama hii ambayo ni potosh hakuna sababu ya kuishabikia. Kueni wenye busara.... no 1 is above...
Huyu ni mmojawapo wa watu ninaowatilia mashaka ya kutokua wa tz.... kama kweli ni cdm mtu huyu basi cdm ikae na kuwaelimisha watu wake nini maana ya uzalendo na nn maana ya siasa. unahtaji msaada wa kiakili hujielew wewe kibaraka wa rwanda.
Sielew kwamba ndi cdm inavyowafundisha uzalendo wanachama wake au ni watu wanatumia mgongo wa chama hicho kuchafua akili za watanzania.... "its not logical n its impocbo to hv seen a tanzanian saying plz kagame hit tanzania" huu ni upuuzi na huyu si mtanzania ni pandikizi frm smwhr else. Mh...
Jogi sikutukani lakn nakuita mpuuzi.... huwezi kuleta chuki zako za kisiasa katika swala linalogusa nchi nzima bila kujali ccm wala cdm. Nadhan wewe si mtanzania unajarib kupandikiza upuuzi wako kwenye vichwa vya watanzania. Aliyekutuma mwambie watanzania wamegundua mbinu yetu na hvyo jaribu...
Mnapochangia mada humu jamvini ni vizuri mkatoa prior kwenye vivid evidence tafadhali... usafi au uchafu wa mwanasiasa yeyote mnauleta na vigezo na ushahid. Tusifuate ushabiki. Tulitumie jamvi kuelimishana kwa maendeleo ya taifa letu. Chuki binafsi na shabiki binafs hazitotusogeza mbele. Proof...
Lowassa ni mzalendo na mwenye uchungu na nchi hii na kwa kupitia ushahidi huo ambao watu wanautaka wa yeye kuwa msafi au mchafu basi hapo ndipo kura ya ushind itakapopatikana....
Ndugu social networks hizi hizi zitatumika kusustain ushindi wa ccm... kwann zifungiwe?? Yangu macho itakapo kua T2015CCM adi ikulu itakubidi kuhama nchi.
Ushaur binafsi..... viongozi wa ccm inawalazimu kujoin forces na kuform alliance ya pamoja kushirikiana kwa hali na mali for the sake of the chama. Uchaguz 2015 unaweza kuwa mgumu sana au mrahisi sana kinyume na matarajio ya wengi. Strategies ndi jibu la yote. Jipangen chama tawala hawa jamaa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.