CCM bado tupo imara!

CCM bado tupo imara!

Mkuu Ng'wamapalala,ipo siku utajua ukweli wangu unaoutafuta kwa nguvu kubwa mno. Uwe na wakati mwema Mkuu!
Mkuu VUTA-NKUVUTE ,
JF ina watu mbali mbali wenye umri tofauti na uelewa tofauti.

Usishangae kuna wataalamu wa data mining ambao wanaweza kuzipambanua generative syntax kwa 75% to 95% wanapoamua kufuatilia maandishi mbali mbali ili kupata write print.

Kwa mfano wa haraka haraka, baada ya kupitia mabandiko yote hapa na kulisoma bandiko hili katika paragraph hii,
Ingawa tumebwagwa vibaya katika uchaguzi wa Udiwani Arusha Jumapili iliyopita, bado CCM tupo imara. Ni wazi kuwa kuanzia uchaguzi mkuu wa 2010,hasa katika chaguzi ndogo mbalimbali,kura zetu zinaendelea kuserereka kuelekea chini pamoja na kushinda sehemu nyingi nchini kwa kipindi hicho.Bado tuna nafasi ya kujirekebisha.

Halafu nikalinganisha na sauti ya maandishi iliyoko ndani ya bandiko hili,
Nashukuru kwa kukiri kwamba mmebwagwa vibaya,
Nashukuru kwa kukiri pia kwamba kura zenu zinaendelea kuserereka kwenda chini.
Nashukuru kwa kukiri kwamba CHADEMA inaimarika kila siku.

Sina mengi zaidi ya kukushukuru kwa kuelewa hali halisi na kukubali kwamba maji yamewafika shingoni.

Ni HAYO tu ndugu yangu mwenye roho ya paka.

Ninapata sauti ya maandishi inayofanana kwa karibu kuniwezesha kuanza kuangalia viashiria vya chanzo cha sauti hizi ili nipate write print.

Kwani hufahamu kama tuko kwenye dunia ya sayansi na tekinologia.

Sina sababu ya kunifanya nitafute ukweli wako wakati ukweli wako uko kwenye mabandiko yako.

Have a good one.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu VUTA-NKUVUTE ,
JF ina watu mbali mbali wenye umri tofauti na uelewa tofauti.

Usishangae kuna wataalamu wa data mining ambao wanaweza kuzipambanua generative syntax kwa 75% to 95% wanapoamua kufuatilia maandishi mbali mbali ili kupata write print.

Kwa mfano wa haraka haraka, baada ya kupitia mabandiko yote hapa na kulisoma bandiko hili katika paragraph hii,


Halafu nikalinganisha na sauti ya maandishi iliyoko ndani ya bandiko hili,


Ninapata sauti ya maandishi inayofanana kwa karibu kuniwezesha kuanza kuangalia viashiria vya chanzo cha sauti hizi ili nipate write print.

Kwani hufahamu kama tuko kwenye dunia ya sayansi na tekinologia.

Sina sababu ya kunifanya nitafute ukweli wako wakati ukweli wako uko kwenye mabandiko yako.

Have a good one.
Mkuu Ng'wamapalala, are you alleging that VUTA-NKUVUTE is Kiwa? Si kweli.Mkuu,sikuwahi kuwa na ID zaidi ya hii.Mkuu Kiwa ni huru kama nilivyo. Ipo siku Mkuu utafurahi
 
Last edited by a moderator:
Ingawa tumebwagwa vibaya katika uchaguzi wa Udiwani Arusha Jumapili iliyopita, bado CCM tupo imara. Ni wazi kuwa kuanzia uchaguzi mkuu wa 2010,hasa katika chaguzi ndogo mbalimbali,kura zetu zinaendelea kuserereka kuelekea chini pamoja na kushinda sehemu nyingi nchini kwa kipindi hicho.Bado tuna nafasi ya kujirekebisha.

Chaguzi hizi ndogo ni kama mechi za kisoka. Viongozi wetu (makocha wetu) wameshauona udhaifu unaojitokeza chamani na hata kwenye kampeni.Ni watu waonaji na wasikivu.Watafanya jambo. Watakirekebisha vyema chama kuelekea 2015. CCM yetu bado imara na iko tayari kwa uchaguzi wowote mahali popote. Yeyote atakayestahili adhabu ya kichama atapewa;wa kutunukiwa atatunukiwa.

Lakini,kama chama kikomavu,tunatambua kuimarika kwa chama kikuu cha upoinzani nchini CHADEMA SIKU HADI SIKU. Tunatambua kuwa siasa za nchi hizi naimarika na kunoga. Zinaelekea pazuri. Zitafikia mahali ambapo wapigakura watachagua maendeleo hasa. CCM tunajiandaa kwa hilo. Tunajiimarisha kwa siasa za kihoja za haja. Tupo tayari haswa!

CHADEMA,CUF,NCCR-Mageuzi,TLP na wengineo kaeni chonjo.CCM inaimarishwa na siasa za sasa za kidijitali. Bado tupo imara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Una uhakika?! kama the devil incarnate Mwigulu Nchemba (SAVIMBI) (May he burn to ashes in hell!!) bado ataendelea kuwa ndie chief strategist wenu; hizo njozi zako futa na kifuto.
 
Mkuu Ng'wamapalala, are you alleging that VUTA-NKUVUTE is Kiwa? Si kweli.Mkuu,sikuwahi kuwa na ID zaidi ya hii.Mkuu Kiwa ni huru kama nilivyo. Ipo siku Mkuu utafurahi
Mkuu, sijaweka neno ALLEGING kwenye bandiko langu kwa vile kuandika neno hilo nitakuwa ninavunja sheria za JF. Naona kama unaniwekea maandishi ambayo sijayaweka.

I'm trying to be a good JF citizen na sitarajii kuzivunja sheria ninazozifahamu hapa JF.

Huhitaji kufikiria hivyo labda kama kuna sababu za msingi kukufanya ufikirie hivyo.
 
Ingawa tumebwagwa vibaya katika uchaguzi wa Udiwani Arusha Jumapili iliyopita, bado CCM tupo imara. Ni wazi kuwa kuanzia uchaguzi mkuu wa 2010,hasa katika chaguzi ndogo mbalimbali,kura zetu zinaendelea kuserereka kuelekea chini pamoja na kushinda sehemu nyingi nchini kwa kipindi hicho.Bado tuna nafasi ya kujirekebisha.

Chaguzi hizi ndogo ni kama mechi za kisoka. Viongozi wetu (makocha wetu) wameshauona udhaifu unaojitokeza chamani na hata kwenye kampeni.Ni watu waonaji na wasikivu.Watafanya jambo. Watakirekebisha vyema chama kuelekea 2015. CCM yetu bado imara na iko tayari kwa uchaguzi wowote mahali popote. Yeyote atakayestahili adhabu ya kichama atapewa;wa kutunukiwa atatunukiwa.

Lakini,kama chama kikomavu,tunatambua kuimarika kwa chama kikuu cha upoinzani nchini CHADEMA SIKU HADI SIKU. Tunatambua kuwa siasa za nchi hizi naimarika na kunoga. Zinaelekea pazuri. Zitafikia mahali ambapo wapigakura watachagua maendeleo hasa. CCM tunajiandaa kwa hilo. Tunajiimarisha kwa siasa za kihoja za haja. Tupo tayari haswa!

CHADEMA,CUF,NCCR-Mageuzi,TLP na wengineo kaeni chonjo.CCM inaimarishwa na siasa za sasa za kidijitali. Bado tupo imara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hata mgonjwa mahututi anapokaribia kukata roho huwapa jamaa zake matumaini kwa kukaa na kunywa uji mwenyewe, hapo ndipo ccm ilipo, mkishamaliza huo uji ndipo mtanyooka kimojaa,
Endeleeni kuwadharau Watanzania mkidjani mko kwenye zile siasa za Tinga tinga na Komba na taarabu zake za uchochezi
 
Mkuu, sijaweka neno ALLEGING kwenye bandiko langu kwa vile kuandika neno hilo nitakuwa ninavunja sheria za JF. Naona kama unaniwekea maandishi ambayo sijayaweka.

I'm trying to be a good JF citizen na sitarajii kuzivunja sheria ninazozifahamu hapa JF.
Thank you Comrade.Enjoy your evening!
 
Ingawa tumebwagwa vibaya katika uchaguzi wa Udiwani Arusha Jumapili iliyopita, bado CCM tupo imara. Ni wazi kuwa kuanzia uchaguzi mkuu wa 2010,hasa katika chaguzi ndogo mbalimbali,kura zetu zinaendelea kuserereka kuelekea chini pamoja na kushinda sehemu nyingi nchini kwa kipindi hicho.Bado tuna nafasi ya kujirekebisha.

Chaguzi hizi ndogo ni kama mechi za kisoka. Viongozi wetu (makocha wetu) wameshauona udhaifu unaojitokeza chamani na hata kwenye kampeni.Ni watu waonaji na wasikivu.Watafanya jambo. Watakirekebisha vyema chama kuelekea 2015. CCM yetu bado imara na iko tayari kwa uchaguzi wowote mahali popote. Yeyote atakayestahili adhabu ya kichama atapewa;wa kutunukiwa atatunukiwa.

Lakini,kama chama kikomavu,tunatambua kuimarika kwa chama kikuu cha upoinzani nchini CHADEMA SIKU HADI SIKU. Tunatambua kuwa siasa za nchi hizi naimarika na kunoga. Zinaelekea pazuri. Zitafikia mahali ambapo wapigakura watachagua maendeleo hasa. CCM tunajiandaa kwa hilo. Tunajiimarisha kwa siasa za kihoja za haja. Tupo tayari haswa!

CHADEMA,CUF,NCCR-Mageuzi,TLP na wengineo kaeni chonjo.CCM inaimarishwa na siasa za sasa za kidijitali. Bado tupo imara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mkuu mimi napenda uelewa wako wa siasa na mapokeo yako ya uhalisia .Nakupenda zaidi kwa kuwa uko tayari kusema ukweli hata ni mchungu na una siasa za kistaarabu .Am sure within CCM wakikutumia vyema hatutakuwa na siasa za kuumizana kama za sasa .Ubarikiwe
 
Tatizo la ccm mwanaccm akionekana kaongea sana basi ana faa hata akiongea upumbavu kama mwigulu basi anapewa cheo wengine ni janga la ccm

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ingawa tumebwagwa vibaya katika uchaguzi wa Udiwani Arusha Jumapili iliyopita, bado CCM tupo imara. Ni wazi kuwa kuanzia uchaguzi mkuu wa 2010,hasa katika chaguzi ndogo mbalimbali,kura zetu zinaendelea kuserereka kuelekea chini pamoja na kushinda sehemu nyingi nchini kwa kipindi hicho.Bado tuna nafasi ya kujirekebisha.

Chaguzi hizi ndogo ni kama mechi za kisoka. Viongozi wetu (makocha wetu) wameshauona udhaifu unaojitokeza chamani na hata kwenye kampeni.Ni watu waonaji na wasikivu.Watafanya jambo. Watakirekebisha vyema chama kuelekea 2015. CCM yetu bado imara na iko tayari kwa uchaguzi wowote mahali popote. Yeyote atakayestahili adhabu ya kichama atapewa;wa kutunukiwa atatunukiwa.

Lakini,kama chama kikomavu,tunatambua kuimarika kwa chama kikuu cha upoinzani nchini CHADEMA SIKU HADI SIKU. Tunatambua kuwa siasa za nchi hizi naimarika na kunoga. Zinaelekea pazuri. Zitafikia mahali ambapo wapigakura watachagua maendeleo hasa. CCM tunajiandaa kwa hilo. Tunajiimarisha kwa siasa za kihoja za haja. Tupo tayari haswa!

CHADEMA,CUF,NCCR-Mageuzi,TLP na wengineo kaeni chonjo.CCM inaimarishwa na siasa za sasa za kidijitali. Bado tupo imara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Labda mtafute dawa ya kufungia JF, facebook, all social forums and blogs na Smartphone zote zisiingie chini. Na ikibidi hata ipitishwe sheria ya kutoruhusu simu za mkononi zenye uwezo wa ku-access internet. Vinginevyo; mkibahatika sana, bac uchaguzi wenu wa mwisho kushinda itakuwa hiyo 2015, baada ya hapo lazima mfe kibudu tu.
 
asante mkuu kwa ukweli uonao, hivi karibuni nilitoa andiko hapa la kwa nini CCM wanachukiwa na wananchi lakini watu wa CCM wakanishambulia kweli kweli lakini ukweli ndo huo
 
Ingawa tumebwagwa vibaya katika uchaguzi wa Udiwani Arusha Jumapili iliyopita, bado CCM tupo imara. Ni wazi kuwa kuanzia uchaguzi mkuu wa 2010,hasa katika chaguzi ndogo mbalimbali,kura zetu zinaendelea kuserereka kuelekea chini pamoja na kushinda sehemu nyingi nchini kwa kipindi hicho.Bado tuna nafasi ya kujirekebisha.

Chaguzi hizi ndogo ni kama mechi za kisoka. Viongozi wetu (makocha wetu) wameshauona udhaifu unaojitokeza chamani na hata kwenye kampeni.Ni watu waonaji na wasikivu.Watafanya jambo. Watakirekebisha vyema chama kuelekea 2015. CCM yetu bado imara na iko tayari kwa uchaguzi wowote mahali popote. Yeyote atakayestahili adhabu ya kichama atapewa;wa kutunukiwa atatunukiwa.

Lakini,kama chama kikomavu,tunatambua kuimarika kwa chama kikuu cha upoinzani nchini CHADEMA SIKU HADI SIKU. Tunatambua kuwa siasa za nchi hizi naimarika na kunoga. Zinaelekea pazuri. Zitafikia mahali ambapo wapigakura watachagua maendeleo hasa. CCM tunajiandaa kwa hilo. Tunajiimarisha kwa siasa za kihoja za haja. Tupo tayari haswa!

CHADEMA,CUF,NCCR-Mageuzi,TLP na wengineo kaeni chonjo.CCM inaimarishwa na siasa za sasa za kidijitali. Bado tupo imara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam


mkuu tupa tupa endelea kuamini namna hiyo hiyo but uchaguzi mkuu 2015 ni T2015CDM hadi ikulu
 
Ni kweli haitakufa,Muombee adui yako aishi siku nyingi ili utakapofanikiwa ajionee kwa macho,
 
Mkuu Ng'wamapalala, are you alleging that VUTA-NKUVUTE is Kiwa? Si kweli.Mkuu,sikuwahi kuwa na ID zaidi ya hii.Mkuu Kiwa ni huru kama nilivyo. Ipo siku Mkuu utafurahi

Mkuu hamna haja ya kubishana nae kwa kuanza kufuatilia eti kama ID ni za mtu mmoja,kama uwezo wake wa kufikiri umeishia hapo basi muache. Ila me narudia tu kushukuru kwa kujua kwamba hali yao kisiasa ni mbaya.
Wanahitaji busara zaidi sio busara za kina Mwigulu.
 
Ushaur binafsi..... viongozi wa ccm inawalazimu kujoin forces na kuform alliance ya pamoja kushirikiana kwa hali na mali for the sake of the chama. Uchaguz 2015 unaweza kuwa mgumu sana au mrahisi sana kinyume na matarajio ya wengi. Strategies ndi jibu la yote. Jipangen chama tawala hawa jamaa wa chadema velocity yao ni yale mambo ya mbio za sakafuni...
 
Labda mtafute dawa ya kufungia JF, facebook, all social forums and blogs na Smartphone zote zisiingie chini. Na ikibidi hata ipitishwe sheria ya kutoruhusu simu za mkononi zenye uwezo wa ku-access internet. Vinginevyo; mkibahatika sana, bac uchaguzi wenu wa mwisho kushinda itakuwa hiyo 2015, baada ya hapo lazima mfe kibudu tu.

Ndugu social networks hizi hizi zitatumika kusustain ushindi wa ccm... kwann zifungiwe?? Yangu macho itakapo kua T2015CCM adi ikulu itakubidi kuhama nchi.
 
Ndugu social networks hizi hizi zitatumika kusustain ushindi wa ccm... kwann zifungiwe?? Yangu macho itakapo kua T2015CCM adi ikulu itakubidi kuhama nchi.
Nihame nchi mara ngapi? mbona kitambo sipo hiyo nchi ya kusadikika
 
Back
Top Bottom