John Muir Mwanahistoria Mashuhuri wa Uskochi na Marekani ambaye pia ni Mwandishi, Mwanafalsafa wa Mazingira na Mtaalam wa Mimea na Wanyama alipata kusema kwamba;
“ Of all the paths you take in life, make sure a few of them are dirt” Katika kiswahili chetu Muir alimaanisha kuwa “ Hakikisha...
April Fools’ tradition popularized
On April 1, 1700, English pranksters begin popularizing the annual tradition of April Fools’ Day by playing practical jokes on each other.
Although the day, also called All Fools’ Day, has been celebrated for several centuries by different cultures, its exact...
Huyu ni mgonjwa wa kwanza kufa. Isabella alikuwa wa kwanza kutambulika kuwa ana huu ugonjwa na tuliambiwa kuwa alishapona
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule Brigedia Jenerali mstaafu, Jaji Mkuu mstaafu, aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya mabadiliko ya katiba, Padre katika kanisa la Aglicana, Mzee Augustino Ramadhani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaomsifia Magufuli ni wanafiki sana, mtu anayejimwambafy na kujiona yeye ni Bora kuliko wengine, mtu asiyeheshimu mihimili mingine, mtu anayejiona yeye ndiye mzalendo zaidi ya wengine, mtesaji na muuaji, unaanzaje kumsifia mtu huyu.
Najua #UVCCM na wazee wao hawawezi kumkemea Magufuli maana...
Ukisema kuwa CCM haitompitisha Magufuli kugombea tena kiti cha urais 2020 ni sawa na kumaanisha kuwa Magufuli hatojipitisha kuwania urais 2020. #KOBARAone umeshindwa kuelewa kuwa sasa hakuna CCM kuna Magufuli kwanza!
Magufuli amekwisha kiteka Nyara chama hicho nakukifanya Mali yake na...
“ Serikali inafikiria kuweka akiba yake Benki Kuu kwa kutumia madini ya Tanzanite.”
Hayo ni maneno ya Waziri mwenye dhamana ya fedha Dkt Philipo Isdor Mpango aliyoyatoa Novemba 2016, ikiwa ni kujiaanda kutekeleza agizo la Mhe. Mtukufu Raisi Dkt. John Pombe Magufuli alilolitoa wakati alipofanya...
Waamshe tu popo tuheshimiane...! Mimi nitaanza na chakubanga... Aniambie alimpa bei gani Mtulia? kabla sijamrudishia dozi yake ya TB ambayo hakuimaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.