mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,842
nafikiri ungerejea mchakato Wa kumtafuta mgombea Wa urais kwa tiketi ya ccm.ungepata jibu.
STIVINIPamoja na mazuri mengi ambayo rais wetu anayafanya bado kuna watu wachache wanapinga,
Wapo wanaoenda mbali mpaka kusema kuwa Magufuli hakufaa kuwa rais,
Sasa kama Magufuli hakufaa kuwa rais nani tulitakiwa kumchagua awe rais wetu kwenye uchaguzi mkuu 2015?
Kweli mkasi haukati hadi utiwe vidole nyumalabda tumuulize mange kimambi maana alimpigia debe sana halafu akamgeuka. sijui kwa kuwa hakupewa cheo. kutwa kumtukana rais hadi ndoa imemshinda kaishia kupigwa talaka. stupid lady
MmhhhImefikia mahali sasa tutawaliwe tu na marais waislamu, ingelifaa sana yani wanaimani sana hawa ndugu zetu. Natoa mfano ktk maraisi waliotutawala kwanzia awamu ya Mzee mwinyi kila kitu ruksa tulikosa nini!! Kama ni pesa tulikosa pakuziweka, ilibidi tuwe tunazihifadhi soksini god bless him mzee wetu.ukija kwa Kikwete mambo yalikuwa shwari wananchi tulineemeka mno, immigrants walikuwa wanaishi kwa furaha bila kuwekewa vikwazo wala masharti yoyote magumu.god bless him Mzee wetu kikwete
Unaogopa kaburi kaka, si kila siku tunaambiwa ndo makao yetu ya milele????Maana'ke na wewe utakuwa barabarani hiyo 26/04/2018 si ndio, unataka kuchungulia kaburi??
Hata haya maneno yako yanaweza kuwa ushahidi The HagueMaana'ke na wewe utakuwa barabarani hiyo 26/04/2018 si ndio, unataka kuchungulia kaburi??
Nyerere nae alikua nashida gan kwel mkuu?
Tutaongozwa na Mama Samia mpaka pale uchaguzi huru na wa haki utakapofanyika
doh..bac sawaYule mzee ni mbaya zaidi ya magu.
Je,anaweza kusimamia maamuzi magumu?Tutaongozwa na Mama Samia mpaka pale uchaguzi huru na wa haki utakapofanyika
Yule Brigedia Jenerali mstaafu, Jaji Mkuu mstaafu, aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya mabadiliko ya katiba, Padre katika kanisa la Aglicana, Mzee Augustino Ramadhani.Pamoja na mazuri mengi ambayo rais wetu anayafanya bado kuna watu wachache wanapinga,
Wapo wanaoenda mbali mpaka kusema kuwa Magufuli hakufaa kuwa rais,
Sasa kama Magufuli hakufaa kuwa rais nani tulitakiwa kumchagua awe rais wetu kwenye uchaguzi mkuu 2015?
Ngoja watu washike adabu watanzania tulikuwa tumefikia hatua mbaya sana.waliokuwa wamezoea vya kunyonga vya kuchinja hawataweza.Tutaelewana tu ba tutaongea lugha moja tu.Yule Brigedia Jenerali mstaafu, Jaji Mkuu mstaafu, aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya mabadiliko ya katiba, Padre katika kanisa la Aglicana, Mzee Augustino Ramadhani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itatusaidia nn hiyo? Yaani na kuwa great thinker unaamini kwenye fikira za mtu mmoja,akiondoka au akafa inakuwaje? Sisi tunataka taasisi iliyoimara sio mtu huyo mmoja eti kawafunga mafisadi wakati wakina Makonda wapo nje.Wakina Yr ibaijuka ,Chenge wapo nje alafu anasema hajaja kufukua makaburi kweli kwa hiyo double standard tutafika?..Laziama tupate taasis isiyomuangalia Ndugai,Samia Suluhu wala Chenge.Ngoja watu washike adabu watanzania tulikuwa tumefikia hatua mbaya sana.waliokuwa wamezoea vya kunyonga vya kuchinja hawataweza.Tutaelewana tu ba tutaongea lugha moja tu.
Sent using Jamii Forums mobile app