Kisonono
Member
- Sep 23, 2016
- 29
- 21
John Muir Mwanahistoria Mashuhuri wa Uskochi na Marekani ambaye pia ni Mwandishi, Mwanafalsafa wa Mazingira na Mtaalam wa Mimea na Wanyama alipata kusema kwamba;
“ Of all the paths you take in life, make sure a few of them are dirt” Katika kiswahili chetu Muir alimaanisha kuwa “ Hakikisha katika njia zote unazopita katika maisha yako basi chache ziwe njia chafu zisizo halali...”
Bwana Lengai Ole Sabaya yeye aliamua kupita njia chafu kuanzia anaanza mpaka anamaliza. Sabaya aliamua kwenda against nature.
Tukimfuatilia Mtume Paulo katika kitabu cha 1 Timotheo 1:20 anasema... “Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.”
Kwa hakika tuliyaona ya Himenayo sasa tunayashuhudia ya Iskanda, Sabaya amekabidhiwa kwa shetani, ashughulikiwe...
Mtume Paulo anaendelea kusema katika kitabu cha 2 Timotheo 4:14 “Iskanda, mfua shaba, alionyesha ubaya mwingi kwangu; Bwana atamlipa sawasawa na matendo yake.”
Ndio kusema; Tunachoanza kukiona kwa Bwana Sabaya ni Malipo stahiki kwa yale Matendo yake...
Kwahiyo huyu Bwana Lengai Ole Sabaya wetu yameanza kumfika mambo yalliyo tarajiwa...
“ Of all the paths you take in life, make sure a few of them are dirt” Katika kiswahili chetu Muir alimaanisha kuwa “ Hakikisha katika njia zote unazopita katika maisha yako basi chache ziwe njia chafu zisizo halali...”
Bwana Lengai Ole Sabaya yeye aliamua kupita njia chafu kuanzia anaanza mpaka anamaliza. Sabaya aliamua kwenda against nature.
Tukimfuatilia Mtume Paulo katika kitabu cha 1 Timotheo 1:20 anasema... “Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.”
Kwa hakika tuliyaona ya Himenayo sasa tunayashuhudia ya Iskanda, Sabaya amekabidhiwa kwa shetani, ashughulikiwe...
Mtume Paulo anaendelea kusema katika kitabu cha 2 Timotheo 4:14 “Iskanda, mfua shaba, alionyesha ubaya mwingi kwangu; Bwana atamlipa sawasawa na matendo yake.”
Ndio kusema; Tunachoanza kukiona kwa Bwana Sabaya ni Malipo stahiki kwa yale Matendo yake...
Kwahiyo huyu Bwana Lengai Ole Sabaya wetu yameanza kumfika mambo yalliyo tarajiwa...