georgemwaipungu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,779
- 588
Magufuli (muadilifu) hafanani na Lowasa (fisadi)....Ngeleja, Chenge au Tibaijuka (mafisadi) wanawafaaa ukawa.....wachukueni hao.....
Ngeleja na Chenge wako Chama gani?
Magufuli (muadilifu) hafanani na Lowasa (fisadi)....Ngeleja, Chenge au Tibaijuka (mafisadi) wanawafaaa ukawa.....wachukueni hao.....
Umekula maharage mawazo wewe si bure.
Upuuzi mtupu
Viroba vya jioni.
Thubutu! Hatokwenda ukawa kwa Mapumbavu, tutamshauri mapema kupitisha katiba yenye mgombea binafsi tutakapo anza kuona dalili hizo
Endeeleeni kubisha
Magufuli (muadilifu) hafanani na Lowasa (fisadi)....Ngeleja, Chenge au Tibaijuka (mafisadi) wanawafaaa ukawa.....wachukueni hao.....
By that time, KATIBA ITAKUWA INARUHUSU MGOMBEA BINAFSI! Watanyooka tu!
teh teh wewe unachekesha sijui unalenga nini. nyie si tayari mnae jembe lenu edward ngoyai kowassa?Kuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.
Wakimzingua Ukawa tunamchukua.
Sijui umekula maharagwe ya wapi weweee!!!!Kuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.
Wakimzingua Ukawa tunamchukua.
Mbona Lowassa hakuanzisha chama chake kama ni rahisi hivyo!Kuna uwezekano mkubwa sana akaanzisha chama chake na kukubalika sana na wananchi ndio utakuwa mwisho wa ccm.
Kuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.
Wakimzingua Ukawa tunamchukua.
Ukisema kuwa CCM haitompitisha Magufuli kugombea tena kiti cha urais 2020 ni sawa na kumaanisha kuwa Magufuli hatojipitisha kuwania urais 2020. #KOBARAone umeshindwa kuelewa kuwa sasa hakuna CCM kuna Magufuli kwanza!Kuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.
Wakimzingua Ukawa tunamchukua.
Hafai kuwa ukawa sense akachunge huko chatoKuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.
Wakimzingua Ukawa tunamchukua.
Watu wanarudi lini makazini jamani hizi offer za bando zinalevyaMnaandika lakini?
Ndoto ya mwendawazimu.Kuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.
Wakimzingua Ukawa tunamchukua.
Huu ni utipolo wa kiwango cha RamiKuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.
Wakimzingua Ukawa tunamchukua.
Nilijua upo jikoni Msoga unatuletea pishi la mpishi mbobezi membe tujue kama Chakula Ni kibichi au kimeiva kumbe uozo tuuKuna Possibility ya CCM kutompitisha Magufuli kuwa mgombea Urais ndani ya kile chama cha Mapinduzi 2020. Chama cha mlengwa wa kifisadi ila Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama anapinga ufisadi.
Wakimzingua Ukawa tunamchukua.