Recent content by kisinja

  1. K

    JamiiForums Tanzania Shule ya Msingi Lomakaa Wilaya ya Siha Hatarini Kufungwa

    Dunia iko katika karne ya 21 ambapo maendeleo ya sayansi na Teknolojia kwa sasa yanapewa nafasi kubwa katika kuchagiza maendeleo ya Nchi mbalibali duniani. Tunatambua juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita Chini ya Mhe. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha huduma za...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Shule ya Msingi Lomakaa Wilaya ya Siha ina vyoo chakavu

    Dunia iko katika karne ya 21 ambapo maendeleo ya sayansi na Teknolojia kwa sasa yanapewa nafasi kubwa katika kuchagiza maendeleo ya Nchi mbalibali duniani. Tunatambua juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita Chini ya Mhe. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha huduma za...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo Utaratibu wa vituo vya Mabasi kutoka Dar

    Kutokana na Kukua kwa Jiji la Dar. Ni muhimu kwa Serikali kufikiria namna ya kuwa na Stendi za kisasa za kwenda Mikoani katika Kila Manispaa ya Mkoa wa DSM. Kama tulivyo na Ofisi za Ki-Mkoa za DAWASA, JESHI LA POLISI, TANESCO, TRA nk. Ni wakati sasa kuwa na stendi ya Mikoani katika...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    KANISA MOJA, TAKATIFU, KATOLIKI LA MITUME.🙏
  5. K

    JamiiForums Tanzania TCRA CCC Yatoa Ushauri kwa Watumiaji wa Huduma za mawasiliano

    Baraza la Ushauri la watumiaji wa Huduma za Mawasiliano latoa ushauri kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano ikiwemo kutumia fursa zilizopo kwa manufaa ya kujiletea maendeleo
  6. K

    JamiiForums Tanzania Idadi na Mgawanyiko wa Miradi ya Uwekezaji iliyosajiliwa mwaka 2018 Kimkoa

    Kituo cha uwekezaji Tz kwa mwaka 2018 Kiliweza kusajili miradi ya uwekezaji kama inavyoonekana kwenye Kiambatisho hiki
  7. K

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

    Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Imetoa taarifa kama inavyoonekana Na chini ni TAKWIMU RASMI ZA HALI YA UCHUMI TANZANIA BARA 2012-2018 KWA UJUMLA: Kwa mujibu wa takwimu mpya za mwaka wa kizio wa 2015, Pato halisi la Taifa lilikua kwa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na ukuaji wa...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini jimbo Katoliki Moshi halijapandishwa kuwa Jimbo Kuu Katoliki?

    HAPANA MKUU KWA HILI UNAKOSEA. KADINALI SIO LAZIMA AWE ASKOFU KWANI KUNA MAKADINALI AMBAO NI MAPADRE WA KAWAIDA NA HATA MASHEMASI
  9. K

    JamiiForums Tanzania TMA yatumia kimbunga cha Msumbiji kuelezea hali ya hewa nchini

    Nenda kwenye Website yao utakuta hiyo taarifa mpya
  10. K

    JamiiForums Tanzania Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Na Didas Tumaini Majivu yanayotumika siku ya Jumatano ya majivu yanatokana na matawi ya mitende yaliyochomwa,matawi haya ni yale yaliyotumika katika jumapili ya matawi/mitende iliyopita.Matawi haya yalitumika kumlaki Yesu alipokuwa akiingia Yerusalemu kwa shangwe akijiandaa kufa kwa ajili yetu...
  11. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    Kwanza kbs natoa pole sana kwa msiba ulioipata familia ya Prof. Mutahaba kwa kuondokewa na mtoto wao Ruge Mutahaba. Pongezi nyingi kwa namna walivyoendesha msiba huu kwa ustaarabu wa hali ya juu na kudhihirisha umuhimu wa kusoma na kuelimika. Ingekuw msiba wa aina hii umetokea mahali palipokosa...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi (Chadema) apata mtihani wa kukimbiwa na Mchumba wake katika tukio la kumvisha Pete.

    Sasa ndugu mambo kama haya binafsi ya mtu ni ya nn hapa jukwaani. Tuheshimu mambo private ya watu si lazima kila unachokiona na kukiskia uposti kwenye mitandao.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini hawa maaskofu hawakuwepo Ikulu?

    MKUU KWA HAO WA UPANDE WA KANISA KATOLIKI AMBAO HAWAKUUDHURIA NI KWA SABABU WALIOKUJA KUWAKILISHA TEC NI MAASKOFU WAKUU (ARCH-BISHOPS) WA METROPOLITAN ZA KANISA KATOLIKI KWA UTARATIBU WA KANISA. NIWEMUGIZI NA NGALALEKUMTWA SIO MAASKOFU WAKUU. IRINGA IKO CHINI YA METROPOLITAN MPYA YA MBEYA AMBAPO...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, kesho anatarajiwa kukabidhi Mfumo wa Usimamizi wa Mawasiliano ya Simu (TTMS) kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA

    Mkuu anayekabidhi ni Consultant ambae alipewa kaz hyo kwa muda wote huo na bado ilikuwa chini ya uangalizi wake kuhakikisha unakaa sawa. Sasa muda umewadia wa consultant kuukabidhi kwa serikali ili TCRA waendelee nao
  15. K

    JamiiForums Tanzania Moshi: Madiwani wa Halmashauri ya Moshi (CHADEMA) Waingiza magari Matatu yakuzolea Taka

    Hizo ni zile zilizoko chini ya Mradi wa world bank. Kwa zile barabara za zamani bado zipo taa mbovu za zamani zinazotumia umeme. Nyingi haziwaki
Back
Top Bottom