Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi (Chadema) apata mtihani wa kukimbiwa na Mchumba wake katika tukio la kumvisha Pete.

Sauti ya Moshi

New Member
Feb 28, 2019
4
8
Kwanza napenda kumpa pole Ndugu yangu Exaud Mamuya (M/Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Kwa taarifa za uhakika Mchumba wake huyo ambaye siku ya jana ilipaswa avishwe pete na ndugu Exaud Mamuya ilishindikana baada ya Mchumba huyo kutokomea kusikojulikana.

Inasemekana Mchumba huyo alipokea simu ya vitisho kutoka kwa mtu asiyejulikana kuwa endapo atakubali kuvishwa Pete na Exaud Mamuya basi atafanyiwa jambo baya hivyo kwa hofu hiyo aliamua kuchukua uamuzi wa kukimbia tukio hilo muhimu.

Kwa tukio hili napenda kumpa pole Ndugu, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Exaud Mamuya katika kipindi hiki kigumu cha mpito.
IMG_5280%2B%25281280x853%2529.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo huyo jamaa hapo alikuwa hana hata mchumba,alikuwa anatafuna tu videmu hadi umri huo...

Halafu siku hizi upinzani wanahusisha kila kitu na watu wasio julikana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mchumba wake huyo ambaye siku ya jana ilipaswa avishwe pete, ilishindikana baada ya Mchumba huyo kutokomea kusikojulikana]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wandugu, tuheshimu sana kitu kinachoitwa the right to privacy.
Sio kila kitu unachosikia unaleta if, mambo mengine ni mambo private ya watu, sii haki kuyaleta public.
Miongoni mwa haki zilizomo kwenye Katiba yetu, inaitwa "the right to privacy".
Tusikiuke haki za watu.

P
 
Kwanza napenda kumpa pole Ndugu yangu Exaud Mamuya (M/Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Kwa taarifa za uhakika Mchumba wake huyo ambaye siku ya jana ilipaswa avishwe pete na ndugu Exaud Mamuya ilishindikana baada ya Mchumba huyo kutokomea kusikojulikana.

Inasemekana Mchumba huyo alipokea simu ya vitisho kutoka kwa mtu asiyejulikana kuwa endapo atakubali kuvishwa Pete na Exaud Mamuya basi atafanyiwa jambo baya hivyo kwa hofu hiyo aliamua kuchukua uamuzi wa kukimbia tukio hilo muhimu.

Kwa tukio hili napenda kumpa pole Ndugu, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Exaud Mamuya katika kipindi hiki kigumu cha mpito. View attachment 1037858

Sent using Jamii Forums mobile app


Sasa ndugu mambo kama haya binafsi ya mtu ni ya nn hapa jukwaani. Tuheshimu mambo private ya watu si lazima kila unachokiona na kukiskia uposti kwenye mitandao.
 
Mleta mada safi kabisa! Weka watu wajifunze mkioa mjue kuna kukimbiwa na mke au mume haijalishi una pesa au huna pesa
Kuhusu umri wa kuoa mwanaume hana limitation any where. any time ni twende kazi.na mke anazaaa!
Inawezekana alikuwa anakula tu miaka kumi ilopita sasa yametimia
 
Mleta mada wewe ni mwanamke au mwanaume? Kama ni mwanaume basi una tatizo mahali.
 
Wandugu, tuheshimu sana kitu kinachoitwa the right to privacy.
Sio kila kitu unachosikia unaleta if, mambo mengine ni mambo private ya watu, sii haki kuyaleta public.
Miongoni mwa haki zilizomo kwenye Katiba yetu, inaitwa "the right to privacy".
Tusikiuke haki za watu.

P

Uko sahihi Paskali ndio maana tulishangaa kina Makamba kudukuliwa, na taarifa zao kuwekwa humu mitandaoni.
 
Umbeya haufai kwa mtoto wa kiume....mambo mengine muwe mnavunga tu, umemfedhehesha muhusika kuliko hata huyo mwanamke alomkimbia.
 
Kwanza napenda kumpa pole Ndugu yangu Exaud Mamuya (M/Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Kwa taarifa za uhakika Mchumba wake huyo ambaye siku ya jana ilipaswa avishwe pete na ndugu Exaud Mamuya ilishindikana baada ya Mchumba huyo kutokomea kusikojulikana.

Inasemekana Mchumba huyo alipokea simu ya vitisho kutoka kwa mtu asiyejulikana kuwa endapo atakubali kuvishwa Pete na Exaud Mamuya basi atafanyiwa jambo baya hivyo kwa hofu hiyo aliamua kuchukua uamuzi wa kukimbia tukio hilo muhimu.

Kwa tukio hili napenda kumpa pole Ndugu, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Exaud Mamuya katika kipindi hiki kigumu cha mpito. View attachment 1037858

Sent using Jamii Forums mobile app
Narrow thinker among great thinker

SHAME ON YOU DUDE.

AKSANTE KWA KUCHAGUA UMBEYA! ukiendelea hivyo UTAFUMULIWA MAR.I.ND.A Mda si mrefu😉😉
 
Kwanza napenda kumpa pole Ndugu yangu Exaud Mamuya (M/Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Kwa taarifa za uhakika Mchumba wake huyo ambaye siku ya jana ilipaswa avishwe pete na ndugu Exaud Mamuya ilishindikana baada ya Mchumba huyo kutokomea kusikojulikana.

Inasemekana Mchumba huyo alipokea simu ya vitisho kutoka kwa mtu asiyejulikana kuwa endapo atakubali kuvishwa Pete na Exaud Mamuya basi atafanyiwa jambo baya hivyo kwa hofu hiyo aliamua kuchukua uamuzi wa kukimbia tukio hilo muhimu.

Kwa tukio hili napenda kumpa pole Ndugu, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Exaud Mamuya katika kipindi hiki kigumu cha mpito. View attachment 1037858

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipi cha ajabu hapa? Hata kama ni kweli, kwani huyu ni MTU wa kwanza kukumbwa na tatizo kama hili??
 
Kwanza napenda kumpa pole Ndugu yangu Exaud Mamuya (M/Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Kwa taarifa za uhakika Mchumba wake huyo ambaye siku ya jana ilipaswa avishwe pete na ndugu Exaud Mamuya ilishindikana baada ya Mchumba huyo kutokomea kusikojulikana.

Inasemekana Mchumba huyo alipokea simu ya vitisho kutoka kwa mtu asiyejulikana kuwa endapo atakubali kuvishwa Pete na Exaud Mamuya basi atafanyiwa jambo baya hivyo kwa hofu hiyo aliamua kuchukua uamuzi wa kukimbia tukio hilo muhimu.

Kwa tukio hili napenda kumpa pole Ndugu, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Exaud Mamuya katika kipindi hiki kigumu cha mpito. View attachment 1037858

Sent using Jamii Forums mobile app
So what?Upumbavu mtupu. Kaolewe ww km umefurahi yeye kukimbiwa mchumba
 
Kwanza napenda kumpa pole Ndugu yangu Exaud Mamuya (M/Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Kwa taarifa za uhakika Mchumba wake huyo ambaye siku ya jana ilipaswa avishwe pete na ndugu Exaud Mamuya ilishindikana baada ya Mchumba huyo kutokomea kusikojulikana.

Inasemekana Mchumba huyo alipokea simu ya vitisho kutoka kwa mtu asiyejulikana kuwa endapo atakubali kuvishwa Pete na Exaud Mamuya basi atafanyiwa jambo baya hivyo kwa hofu hiyo aliamua kuchukua uamuzi wa kukimbia tukio hilo muhimu.

Kwa tukio hili napenda kumpa pole Ndugu, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Exaud Mamuya katika kipindi hiki kigumu cha mpito. View attachment 1037858

Sent using Jamii Forums mobile app


Speeching to blank seats!!
 
Kwahiyo huyo jamaa hapo alikuwa hana hata mchumba,alikuwa anatafuna tu videmu hadi umri huo...

Halafu siku hizi upinzani wanahusisha kila kitu na watu wasio julikana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa katafuna vya watu kweli kweli aisee,duh!Halafu katika umri huo watu wasiojulikana tena
wanakupeperushia,
dah,inauma sana aisee.Pole zake.
 
Back
Top Bottom