TMA yatumia kimbunga cha Msumbiji kuelezea hali ya hewa nchini

lingamba lidodi

JF-Expert Member
Nov 15, 2018
964
1,137
Inafikirisha sana hii mamlaka ya hali ya hewa nchini.

Ukame January hali ya mvua siyo nzuri, mamlaka haikutoa taarifa. Baadae walitoa taarifa kuwa mvua za masika zitaanza wiki ya kwanza March lakini leo imefika tarehe 22 bila mvua na bila taarifa ya TMA.

Wiki moja baada ya kimbunga Msumbiji, leo wanakuja na propaganda za kisiasa kuwa mvua imepepereshwa na kipunga kilichopiga Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.

Swali:

Mbona hawakutoa taarifa kabla ya kimbunga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanatuchanganya wakulima. Walisema mvua za vuli zingekuwa zingekuwa nyingi hali tofauti. Watafute kutoka mataifa yenye teknolojia nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenendo wa Hali ya hewa unabadilika kila lisaa aisee usije ukawapuuza juu ya taarifa zao ila kilichotokea Msumbiji na Malawi ni ile kasi ya upepo iliyoleta Kimbunga imepelekea uelekeo kuwa tofauti na ilivyokuwa awali..! hujawai kusikia tunapata mvua kutoka katika misitu ya Congo? unadhani nini kinasabbabisha mpaka waseme vile? Leta ujuaji itakula kwako.
Inafikirisha sana hii mamlaka ya hali ya hewa nchini.

Ukame January hali ya mvua siyo nzuri, mamlaka haikutoa taarifa. Baadae walitoa taarifa kuwa mvua za masika zitaanza wiki ya kwanza March lakini leo imefika tarehe 22 bila mvua na bila taarifa ya TMA.

Wiki moja baada ya kimbunga Msumbiji, leo wanakuja na propaganda za kisiasa kuwa mvua imepepereshwa na kipunga kilichopiga Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.

Swali:

Mbona hawakutoa taarifa kabla ya kimbunga?
 
Ukileta siasa kwenye mambo ya kitaalamu utakuja ubebwe na kimbunga siku za usoni wewe endelea tu
utabiri wa hali ya hewa hutimia tu endapo all factors remain constant saivi tuko kwenye janga la mabadiliko tabia nchi jambo lolote linatokea muda wowote bila taarifa yeyote
Labda mimi ndio sifahamu au sielewi kimbunga hichi tulikuwa tunapata updates zake ingawa sio toka TMA wakati kinajijenga baharini mpaka kikabadilisha uelekeo sasa iweje hiIi bandiko likawa la kisiasa?
Pia utabiri wa mvua mwanzoni mwa march ulitakiwa ufafanuliwe mabadiliko yake tofauti na utabiri.
 
Labda mimi ndio sifahamu au sielewi kimbunga hichi tulikuwa tunapata updates zake ingawa sio toka TMA wakati kinajijenga baharini mpaka kikabadilisha uelekeo sasa iweje hiIi bandiko likawa la kisiasa?
Pia utabiri wa mvua mwanzoni mwa march ulitakiwa ufafanuliwe mabadiliko yake tofauti na utabiri.
Vimbunga vinatabia ya kubadili directions kutokana na mkondo wa bahari kimbunga cha msumbiji kimeenda na mvua yetu kama ingebid tupate mvua mapema amini usiamin tungeogelea na sisi
 
Hii mamlaka ni ya kufutwa tu...

Walisema mwaka huu kutakuwa na mvua nyingi kupita kiasi kusini na nyanda za juu kusini yote...

Walienda mbali zaidi wakasema wakulima wsipande mahindi na maharge kwani hayahimili maji mengi..

Maajabu...hakuna mvua mwezi wote huu wa tatu... Mimea ishaungua..

Hawa jamaa ni FAKE...yani elimu yao ni sifuri. Bi bora warudi mabeberu tu wakamate ofisi hizo.
 
Ukileta siasa kwenye mambo ya kitaalamu utakuja ubebwe na kimbunga siku za usoni wewe endelea tu
utabiri wa hali ya hewa hutimia tu endapo all factors remain constant saivi tuko kwenye janga la mabadiliko tabia nchi jambo lolote linatokea muda wowote bila taarifa yeyote
ndo maana inaita utabiri husezi wahukumu ...ila u grkuwa mkulima au mfugaji kwakweli ungekasirika tumepanda mazao yameota tumepalilia yameanzankukauka tuna wiki moja tu .....mifugo ndo hiyo
 
Inafikirisha sana hii mamlaka ya hali ya hewa nchini.

Ukame January hali ya mvua siyo nzuri, mamlaka haikutoa taarifa. Baadae walitoa taarifa kuwa mvua za masika zitaanza wiki ya kwanza March lakini leo imefika tarehe 22 bila mvua na bila taarifa ya TMA.

Wiki moja baada ya kimbunga Msumbiji, leo wanakuja na propaganda za kisiasa kuwa mvua imepepereshwa na kipunga kilichopiga Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.

Swali:

Mbona hawakutoa taarifa kabla ya kimbunga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Meteorology is a very dynamic science.
All Meteorology experts in the world could not predict the recent
tsunami. Please do not blame our met guys as they are trying their best. Kenya and other parts of africa are facing famine but due to global climate changing, they could not predict even that.
 
Inafikirisha sana hii mamlaka ya hali ya hewa nchini.

Ukame January hali ya mvua siyo nzuri, mamlaka haikutoa taarifa. Baadae walitoa taarifa kuwa mvua za masika zitaanza wiki ya kwanza March lakini leo imefika tarehe 22 bila mvua na bila taarifa ya TMA.

Wiki moja baada ya kimbunga Msumbiji, leo wanakuja na propaganda za kisiasa kuwa mvua imepepereshwa na kipunga kilichopiga Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.

Swali:

Mbona hawakutoa taarifa kabla ya kimbunga?

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa chaajabu mvua zitaanza kunyesha kabla mwezi wa3 kwisha hao TMA ni wapiga ramli tu kama wale wa ccm
 
Dah... Kipindi Sheikh Yahya yuko hai hawa jamaa wa utabiri wa hali ya hewa walikuwa vizuri Sana

Sent using Beretta ARX 160
 
Back
Top Bottom