Recent content by Kisima cha Busara

  1. K

    Sema neno hapa

    Very Emotional picture!
  2. K

    Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

    Wanajukwaa Hotuba ya Jaji Warioba Bunge la Katiba hii hapa.
  3. K

    Majibu ya pingamizi ya mgombea wa CHADEMA kwa msimamizi wa uchaguzi jimbo la CHALINZE

    Asante sana mkuu kwa ufafanuzi huu maana watu wengne wanadhani mtu kujua kusoma na kuandika lazma apitie shule wanazozijua wao. Matakwa ya kisheria ni kujua kusoma na kuandika iwe ulijua kupitia ngumbalu au kayumba lkn mwisho ni kwamba unajua kusoma na kuandika.
  4. K

    CHADEMA ilikopa million 200 tzs kushiriki uchaguzi Kalenga!

    Mimi sioni tatizo kabisa kwa chama kukopa. Kwani ulitaka chama kikope ili wanachama wagawane hzo pesa? Kwavile ni mkopo uliokuwa na nia njema ya kufanya siasa kwa manufaa ya chama, kwangu mim sioni tatizo maana ni matumizi halali kabisa ya shughuli za kisiasa za chama. Tusiangalie ushindi tu lkn...
  5. K

    Usiache kusoma hadithi hii ya kuuzunisha"nataka tuachane"

    Ni nzuri sana kwa maaa inatoa elimu na maarifa. Haya ndo mambo ya kushea wanajamvi.
  6. K

    Jamhuri: Pinda agongana na bilionea Dar!

    Ndg zangu habari hii inasikitisha sana na inanikumbusha maneno ya Dr. Slaa "Nchi Haitatawalika kama Dhuluma haitakabiliwa ipasavyo". Maneno haya ni juzi tu hapa Dr. kayatolea tena ufafanuzi. Tafsiri ya watu wengi kuhusu kutotawalika walidhani sasa Tz kutakuwa na vita pengine lakini si hvyo. Kama...
  7. K

    Mgombea Wangu wa Urais 2015 ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali walizouziwa Viongozi na Wafanyakazi

    Ndg yangu Le Mutuz kumbe na ww huwa una point wakati mwingine? Nikiri kwamba tangu nikufahamu humu jukwaani leo ndo nashuhudia ukitoa point ya maana kwa watz Mim nilijua ushabiki wako umekufanya uwe mpofu milele. Hongera kwa kuiona changamoto hii japo it is too late
  8. K

    TANESCO Yaomba kuongeza tena bei ya Umeme kwa 68%

    Ndugu zangu hii nchi kwa kweli inatia huruma na kusikitisha sana kila Neema tulojaliwa na Mungu tunaigeuza laana sisi wenyewe. Sasa na visima vyote hivyo vya gesi kweli umeme ufikie bei hiyo?? Lkn pia hawa viongozi hata wanapotaka kubariki kupanda bei basi wawambie wananchi sababu za maana na...
  9. K

    Watch Out; Pump Attendants wa PUMA (BP), Sinza Kijiweni wapo ki-Fursa Zaidi!!

    Nakubaliana na ww kabisa kwamba kituo hicho kina watu hatari sana. Mim kuna jamaa yangu alienda hapo katoa pesa za mafuta badae mhudumu kazichanganya na pesa bandia afu akarudi akimshutumu jamaa yangu kampa pesa bandia. Ulizuka ugomvi mkubwa kweli hadi wa kupelekana polisi na ikaonekana polisi...
  10. K

    Wapi nitapata darasa la jioni kwa kozi ya LLB hapa dar

    Mkuu tafuta chuo kinaitwa university of Bagamoyo. Hawa jamaa program yao ya LLB ni evening. Classes huanza saa 11 jion had saa 2 usiku. Nawajua kias ni wazuri na wanatumia walimu ambao ni wazoefu na wengi wao wanatoka UDSM. Unaweza ukatembelea website yao kujionea taarifa zaidi.
  11. K

    Shirikisho EAC janja ya nyani!

    Nimeupenda sana udadavuzi wako maana huu ndio ukweli wenyewe wa EAC hakuna la maana sana pale hata tukiachana nao. Ukiwaangalia vzuri hao jamaa wote almost wanafrustration ktk nchi zao so wanatafuta namna ya kujifariji na kutaka kutuingiza Kingi.
  12. K

    Kama wauza Madawa ya kulevya wangekuwa CHADEMA

    Mimi binafsi nimeichukulia kauli ya Lukuvi kama udhaifu wa hali ya juu wa Serikali kufumbia macho uhalifu. Sioni sababu ya kutomtaja mhalifu eti kisa tu ni Mbunge. Kwan hawa Wabunge wako juu ya sheria? Ina maana sheria zetu zinaangalia hadhi ya mtu wakati wa utekelezaji wake? Kama ndivyo basi...
  13. K

    Jibu la mugabe kwa mwandishi wa uingereza..

    It really does not matter whether ceremonial or executive.
  14. K

    Monica wa Maganzo

    Monaco usisahau na Mwanhuzi, Mwambegwa, Nkoma, Sapa, Bulyashi, Bukundi, Mwagwira, etc. Hahahahaha
  15. K

    Baba mkwe ndo mchawi wa mtoto wetu

    Nianze kwa kukupa pole sana kwa utata huu mkubwa ambao kwa kweli unakuweka ktk njiapanda ya kufanya maamuzi. Ila ushauri wangu ni huu, kama ww ni mkristo na unaamini ktk nguvu ya Mungu kupitia maombi basi jawabu la matatizo yako ni MAOMBI tu ila yawe serious na yanoaambatana na imani kwamba...
Back
Top Bottom