- Unajua nyie mnahitaji kunyamaza kwa sababu kwenye haya maamuzi mlihusika sana, hayo yote uliyoyataja yanapitishwa na Kamati za Bunge kwanza halafu bunge lenyewe ambalo lina Wabunge wa chama chako so hata nyie huko mnahusika!!
Le Mutuz
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.
- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?
- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!
Le Mutuz
Naichukia CCM, vialama vyake vyote, lirangi lake lote na maccm yake yote....Eeee Mwenyezi Mungu nisaidie!!!!- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.
- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?
- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!
Le Mutuz
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.
- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?
- Anayeiweza vita hii ya kurudisha nyumba zetu hizo kwa tanzania ya leo ni DR SLAA tu!
Le Mtuz big up kwa kuamka usingizini marekani inatakiwa uweunatoa mada kama hizi kila mara na hasa kwa blog yako.
Sio kuponda kazi nzuri inayofanywa na wapinzani wenu.
Hivi wakuu tuelezane kiroho safi kabisa, hawa Lb7 a.k.a maccm kwanini hawaonekani kwenye mijadala ya kujenga taifa au kukosoa serikali kama hii badala yake huandamana na kupolomosha matusi kwenye mijadala ya Chadema
Hebu angalia naye huyu le mutuz kaweka thread nzuri lkn kachangia mala moja tu,maskini ya Mungu watakuwa wamem pm wamemtisha mbaya naye kwa woga kaufyata mithili ya mbwa joke kwadume
Nacho sema mtu unayeanzisha Uzi hapa lazima uludi kutoa mrejesho au majibu kulingana na maswali na michango iliyotolewa na wachangiaji wengine sio kutokomea mithiri ya kibaka aliye kwapua sehemu huko kama huliwezie hilo usianzishe Uzi hapa nenda facebook aalah
Nanyie pro ccm lazima mjitambue sio vingozi wenu wanawanywesha viloba ms kuwambia tukana cdm nanyi mnafanya kweli wakati Chadema ni mtetezi wa wote wale wasio wanachama na wanachama na watz kwa ujumla. Yangu ni hayo tu