Sikuwahi kupata ya mwanaume mwingine kwahiyo nilikua namjua yy tu baada ya kuonja nje ndio nimejua sio lolote alivyokua ananinyimaga hat mwez akirudi eti amechoka nakosa usingiz usk kucha na ililia
Maudhi yakizidi mapenzi yanaisha hata hisia zinaisha ubabe wanaume kuhisi sisi wanawake akisha kuzalisha basi huna thamani kumbe huko nje watu wanakulilia
Inategeme anasababu za kufanya hayo yeye sio kichaa si ajabu unamichepuko kibao unahonga nje kama hela unaokota atoe hela yake ya nn hata kama ni mimi wanaume nyie ndio mnatufanya tuwe wakatili ukishajua mumeo mhongaji ww utatoa hela yako ili iweje
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.