Recent content by kishununu

  1. K

    Duuh! Kupata umaarufu kweli kazi

    eh!!!bangi inahusika
  2. K

    Ukimkopesha Pesa Mwanamke ujue umeliwa

    inategemea tu na mtu alivyo kiukweli... ukimchekea ndo utaipenda
  3. K

    Boyfriend ananitegemea

    mi nakwambia maisha ni kuchagua na uchaguzi unafanyika ukiwa kijana kama ivi.. sasa kazi kwako angalia huyo unauemchagua je siyo majanga baadae??... maisha ni yako na wewe ndo unajua tam na chungu. sikiliza moyo wako na uamue kwa usahihi. pole sana.
  4. K

    Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

    swali rahisi na jibu rahisi pia ha ha haaaaaaaaa nimecheka kweli.
  5. K

    Sijisikii kumpenda tena, lakini namuonea huruma kumwacha

    Bora umwambie mapema, coz itamuuma zaidi ukimuweka wazi na wakati huo umeshampotezea muda wake mwingi tu. ingawa hata sasa ataumia ila at least baada ya muda atarecover. Ila wewe pia uache tabia ya kukurupuka ndugu!!sasa ukienda huko marekan kama ni kweli ndo ukapagawe zaidi uchezee akili na...
  6. K

    Athari za kulazimisha mahusiano

    hii ni kweli na mfano halisi ninao ila dah!! basi tu.....
  7. K

    Faiza Ally (Ex wa Mheshimiwa), awajibu Wambea

    huyu hata me simjui
  8. K

    Flora Lymo a.k.a Mbuta Nanga

    na anajituma haswaaaaa kukaa uchi.
  9. K

    Hili jibu la Aunt limenifurahisha, ni jibu sahihi pia

    nimelipenda jibu jamani nimecheka mpaka basi....
  10. K

    Lulu Elizabeth, Jackline Wolper waoneshana jeuri ya mabwana!

    KWA NINI WASIWAJENGEE SASA??WANATUmia nini kufikiri??au hizo papuchi??
  11. K

    Simuelewi huyu kaka- ushauri wako ni muhimu tafadhali

    Amenihuzunisha ila.kuliko kuwa na mtu anayeutesa moyo wako bora uwe mwenyewe... cha muhimu ajikite kwenye shuguli za maendeleo aachane na mbeba box.
  12. K

    Ushauri: Nahisi nina matatizo ya kupenda sana

    hahahahhaaaaaaa umeniwai
  13. K

    Siri ya kumfanya mume ashinde nyumbani

    heheheee hapo uchumi uzingatiwe we unadhan wote wana uwezo wa kupata vyote ivyo???saingine urefu umeishia kwenye makande... tafakari.....
  14. K

    Ya Moto band ipigwe marufuku, Sasa imevuka mipaka kukiuka maadili

    ha ha ha haaaaaa nimecheka sana mtu akiwa na sura ya babu yake anafanaje???
Back
Top Bottom