mi nakwambia maisha ni kuchagua na uchaguzi unafanyika ukiwa kijana kama ivi.. sasa kazi kwako angalia huyo unauemchagua je siyo majanga baadae??... maisha ni yako na wewe ndo unajua tam na chungu. sikiliza moyo wako na uamue kwa usahihi. pole sana.
Bora umwambie mapema, coz itamuuma zaidi ukimuweka wazi na wakati huo umeshampotezea muda wake mwingi tu. ingawa hata sasa ataumia ila at least baada ya muda atarecover.
Ila wewe pia uache tabia ya kukurupuka ndugu!!sasa ukienda huko marekan kama ni kweli ndo ukapagawe zaidi uchezee akili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.