babyfaced'assasin
New Member
- Aug 22, 2014
- 2
- 1
i'm a victim,mimi demu kanikopa hela almost 2yrs now na hadi waleo simu yake haiingi,imebidi niziondoe kwa budget yangu
Huu ni ushauri wangu kwa wanaume wote, ushauri huu unakuja baada ya kufanya uchunguzi na kubaini kuwa wanawake wana wazurum sana wanaume kwenye masuala ya pesa.
Hapa sizungumzii wapenzi kwani najua wazi kuwa wapenzi hupeana tu japo wapo wapenzi wachache sana ambao hukopana pesa.
Ndugu yangu, akija kwako mwanamke awe rafiki sana, awe jirani yako tu, mwanafunzi mwenzako, hata mfanyakazi mwenzako akisema nikopeshe pesa ''USIMPE''
Wanawake wengi hupenda kukopa kwa wanaume kwakuwa wanafahamu fika, wanaume huwa wanaona aibu sana kuwadai wanawake na hata kama utamdai basi ni mara moja kwa mwezi hivyo ni sawa na kumdai mara kumi na mbili kwa mwaka.
Fikiria, mwanaume mwenzio tu tena rafiki yangu anavyokusumbua kulipa pesa, leo hii umkope mwanamke, kweli?
Ukikutana na mwanamke mwenye huruma hela yako hakupi ng'oooo atakachokusaidia ni kukupa PAPUCHI tu hata kama unamdai milioni nne. Ukikutana na mwenye roho mbaya, pesa yako hupewi na papuchi hupewi vile vile.
MSIJE SEMA SIKUSEMA, MTAKUJA KULIA HAPA jf NA MTAYAKUMBUKA MANENO YANGU.
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
sio wote ambao sio walipaji mimi ukinikopesha naheshimu makubaliano yetu
taja vigezo na masharti yako kwanza ya huo mkopo
zawadi wakapokee kwa baba zaoWanaamini wanaume hutoa zawadi na siyo kukopesha.
Ukishamkopesha ikifika siku thelasini hajakulipa, then hapo unacheza tu na vitabu vya accounts. Una Credit bad debt account then una debit expense account... Unaaachana naye unatafuta mpunga mwingine...
Ukishamkopesha ikifika siku thelasini hajakulipa, then hapo unacheza tu na vitabu vya accounts. Una Credit bad debt account then una debit expense account... Unaaachana naye unatafuta mpunga mwingine...