timetoloveyourself
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 206
- 206
hajawai kunipa ata sent tano zaidi ya kuninunulia soda,ni mkorofi nimejaribu kumbadilisha nimeshindwa labda nikuletee wewe ujaribu.anasema hua anaspend na rafiki zake zaidi navyomjua ni chapombe
pole sana dada, ikiwa nafsi yako inakufanya umuone hutaweza kufanya nae maisha kwa kigezo au vigezo ulivosema ni bora uachane nae mapema ili usje ishi kwa maumivuuuuu, usitegemee kumbadilisha mtu mkiwa tayari ndoani,ni wanaume wachache sana hubadilika kwa uweza wa mungu mwenyezi,wengi huzidi kuwa matatizo,sasa bora uyaache mapema utulie ukimsihi mungu akupe mume wa kufanana nawe.
Mweleze hizo weakness zake mpe muda wa kujirekebisha,asipojitambua achana nae.
Kikubwa rudi kwa muumba wako tubu kwa nadhiri na vifyungo vyote ulivyowahi wekeana na huyo mpenzi ili mungu akutengenezee njia ya wewe kupata mwenzi wa kuendana nawe, usisahau hatua muhimu za kupata mume huanza katika urafiki mwema, uchumba,mapenzi ndoa takatifu.