Utafiti umefanywa na wazungu, waliofanyiwa utafiti ni wazungu, wanaoathilika na pombe ni wazungu, Waafrika haituuau hata kidogo, wacha tuendelee kula UGIMBI....
.... Yaani naandika huku nakunywa Serengeti baridiiiii
Ushauri mdogo:.
1.Kila mtu asimame kwenye nafasi yake
2. Usirusu ushauri mwingiii eidha kutoka kwao au kwenu, fanyeni kile mlichokunalina na kuona ni sahihi
Mi X wangu anafanya biashara, sasa siku moja nikampigia kumpa dili la pesa kupitia biashara yake, basi kuanzia hapo tukarudisha ukaribu na kuwa marafiki wa kushauriana hili na lile, na nikiomba mgegedo napewa kama kawaida
Zinasajiriwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na watoto, kupitia idara ya Asasi zisizo za kiserikali, ingia kwenye tovuti yao wameweka kila kitu, kianzia utaratibu, fomu, mahitaji na gharama zote
Isikuumize kichwa saana, kwanza kwa kipindi hiki tunachoelekea uchumi wa kati, wala hawaitaji ujuzi wa kuongea, wanahitaji zaidi huduma na uhakika wa kuishi mjini, hivyo ongeza juhudi kwenye kutafuta pesa na kila kitu kitakuwa poa
Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
Mimi ni mtumiaji mzuri wa huduma ya internet ya TTCL, ila wanakera sana, vocha zao hazipatikani madukani, wanatuomba tununue salio kupitia maxmalipo/ selcom, ila unakatwa shilingi 50 kwenye salio uliloongeza kama ada ya huduma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.