Vijana kunyanyua mavyuma ili uwavutie wanawake ni ushamba, Tafuteni hela!

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
4,208
14,137
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wadogo "wadogo zangu" kujazana sehemu za kunyanyua vyuma ili wawe na vifua za kuwavutia warembo, huu nauita ni ushamba kwa sababu mwanamke mwenye akili hatafuti mume aliyejazia kifua bali anatafuta "aliyejazia kichwani" successful man. Hata kama sio successful man lakini anaangalia ana mtazamo gani katika maisha.

Sikatazi watu kunyanyua vyuma ila usinyanyue vyuma ili uwe na mvuto kwa wanawake huo ni ushamba. Tafuta hela na fanya mazoezi kwa ajili ya kuweka mwili sawa. Lasivyo mtaishia kutumiwa na majimama tu.
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la Vijana wadogo "wadogo zangu" kujazana sehemu za kunyanyua vyuma ili wawe na vifua za kuwavutia warembo , Huu nauita ni ushamba kwa sababu mwanamke mwenye akili hatafuti mume aliyejazia kifua Bali anatafuta "aliyejazia kichwani" Successful man. Hata kama sio Successful man lakini anaangalia ana mtazamo gani katika maisha!

Sikatazi watu kunyanyua vyuma ila usinyanyue vyuma ili uwe na mvuto kwa wanawake huo ni ushamba. Tafuta hela na Fanya mazoezi kwa ajili ya kuweka mwili sawa. Lasivyo mtaishia kutumiwa na majimama tu.
Kama ni kwa ajili ya kuwapata warembo,mm huwa zaidi kuwa stupid fool
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wadogo "wadogo zangu" kujazana sehemu za kunyanyua vyuma ili wawe na vifua za kuwavutia warembo, huu nauita ni ushamba kwa sababu mwanamke mwenye akili hatafuti mume aliyejazia kifua bali anatafuta "aliyejazia kichwani" successful man. Hata kama sio successful man lakini anaangalia ana mtazamo gani katika maisha.

Sikatazi watu kunyanyua vyuma ila usinyanyue vyuma ili uwe na mvuto kwa wanawake huo ni ushamba. Tafuta hela na fanya mazoezi kwa ajili ya kuweka mwili sawa. Lasivyo mtaishia kutumiwa na majimama tu.
Na w/ke wanaoenda gym n ujanja au ushamba
 
Hatutaki hatuachi

Kama sababu zako ni hizo za kutakwa na majimama ni sababu ambazo hazipo legit, kwa sababu hata hao wabeba vyuma wanasalitiwa pia.

Watu wengi wanadhani kunyanyua vyuma kutawapa wapenzi, hawapo sahihi kwa asilimia zote.
 

Attachments

  • tapatalk_1494581943350.jpeg
    tapatalk_1494581943350.jpeg
    16.6 KB · Views: 136
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wadogo "wadogo zangu" kujazana sehemu za kunyanyua vyuma ili wawe na vifua za kuwavutia warembo, huu nauita ni ushamba kwa sababu mwanamke mwenye akili hatafuti mume aliyejazia kifua bali anatafuta "aliyejazia kichwani" successful man. Hata kama sio successful man lakini anaangalia ana mtazamo gani katika maisha.

Sikatazi watu kunyanyua vyuma ila usinyanyue vyuma ili uwe na mvuto kwa wanawake huo ni ushamba. Tafuta hela na fanya mazoezi kwa ajili ya kuweka mwili sawa. Lasivyo mtaishia kutumiwa na majimama tu.
Kuwa na hela,so kigezo cha kuvutia wanawake,unasemaje kwa wale wenye nazo ,ambao wake zao,au wapenzi,wanatoka na vijana wasio na kipato kikubwa,kuvutia wanawake kuna vigezo vingi,kuwa na hela,na mwili wa mazoezi,no baadhi tu,we kama afya hairuhusu kunyanyua vyuma,kacheze mpira,sie wenye afya zetu,wacha tutanue vifua,
Sisi tunaonyanyua vyuma,usiombe tupate pesa,na kagari,mtaani hapakariki,ndugu usiombe mkeo anione wakati nimevua shati,
 
Kiukweli mm sipendagi watu wanaonyanyua vyuma, mm nakubali Sana body yang ni model lakini nipo fiti @napiga push up na skwati za kutosha daily
 
Back
Top Bottom