Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,936
- 30,050
Kwa hiyo pale juu Unauza Friji tu??Jaman nieleweke bei ya Fridge ni laki tatu huyo aliyeandika laki moja ni mtu tu aliandika sababu mwanzon sikuweka bei hivyo vyote nimeshaweka bei
Kwa hiyo pale juu Unauza Friji tu??Jaman nieleweke bei ya Fridge ni laki tatu huyo aliyeandika laki moja ni mtu tu aliandika sababu mwanzon sikuweka bei hivyo vyote nimeshaweka bei
Karibu bei laki tatuNahitaji fridge hata Leo
Friji au kabati? Friji zima laki?Friji laki moja (100,000)
Sofa elfu hamsini (50,000)
Kapeti 25,000
Karbuni
Hua sina kawaida ya kubishana na wanawakesasa upunga wake nini? We ndio utakua punga huna hela kaa pembeni
0656119263Tabata KIMANGA ila mawasiliano yapo hapo
0656119263Nahitaji fridge hata Leo
Siuzi kwa bei hiyoBei 150,000 nitakupa
0656119263Nataka ilo sofa, nakupataje