Ni ujinga kila tukio kulihusisha na siasa,nani anayajua maisha yake nyuma ya pazia.
Tusubili tuwe na uhakika na chanzo cha kifo chake.
RIP KAMANDA wewe mbele sisi nyuma.
Ulitaka watu waendelee kusafiri,tufike sehemu tusiwe wanafiki kwa kupinga kila kitu.
Uchaguzi umeisha tuwe na mawazo mapana kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.
Wa TZ bwana kijana mwenzetu anaomba msaada wa Mawazo tu,comment zinazotelewa hazifanani kabisa na utu.
Kama huna msaada unaonaje ukikaa kimya ukawaacha wenye kusaidia wakatoa ushauri. Kumbuka leo kwake kesho utakuwa wewe.
Mkuu usikate tamaa na pole kwa yaliyokupata,nimechukua contact zako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.