UPDATE:
Wadau,
Nauza simu mpya kabisa, ipo kwenye box na box lipo sealed. Hii simu ni New Samsung Brand ambayo imeingia sokoni February 2015. Hii simu nadhani haijakuwa officially launched hapa TZ. Zifuatazo, ni specifications zake:
MY PRICE: TShs. 600,000/-
Contacts: PM can work better because hapa nilipo ni ngumu kuongea kwa simu.
NOTE 1: Simu imekuja na Power Bank with Capacity: 2600mAh
NOTE 2: Picha nimechukua kwenye mtandao kwa simu hizo hizo, SM-E500F/DS. Nimelazimika kuchukua picha kwenye mtandao kwa kuwa box lipo sealed na sikutaka kulifungua.
PHOTOS:
UPDATE:
The Product is No Longer Available. Thank you all who showed interest
Wadau,
Nauza simu mpya kabisa, ipo kwenye box na box lipo sealed. Hii simu ni New Samsung Brand ambayo imeingia sokoni February 2015. Hii simu nadhani haijakuwa officially launched hapa TZ. Zifuatazo, ni specifications zake:
- Network: 4G LTE Vategory 4 (on the Box), 3G, Wi-Fi, Bluetooth 4.0, Micro-USB 2.0
- CPU: 1.2 GHz Quad Core Processor
- Display: 126 mm (5") HD Super AMOLED
- Camera: 8.0 MP AF Camera + 5.0 MP Front Camera
- Internal Memory: 16 GB, 1.5 GB RAM
- MicroSD: Up to 64GB
- Operating System (OS): Android OS, v4.4.4 (KitKat)
- SIM: Dual.
- Battery: 2400mAh
- Color: White.
Price Amazon.com: $285 (Exchange Rate/Buying Price TZS 2020) ≈ TShs. 570,000+
MY PRICE: TShs. 600,000/-
Contacts: PM can work better because hapa nilipo ni ngumu kuongea kwa simu.
NOTE 1: Simu imekuja na Power Bank with Capacity: 2600mAh
NOTE 2: Picha nimechukua kwenye mtandao kwa simu hizo hizo, SM-E500F/DS. Nimelazimika kuchukua picha kwenye mtandao kwa kuwa box lipo sealed na sikutaka kulifungua.
PHOTOS:
UPDATE:
Kuna watu wawili wameuliza kuhusu Power Bank. In short, hiyo Power Bank imekuja na simu lakini sio kubwa sana. Kama specifications zake zinavyoonesha hapo juu, Capacity yake ni 2600mAh. So long as battery capacity ni 2400mAh, then kimahesabu, uwezo wa hiyo power bank ku-retain charge kwenye simu ni 2600*0.8*0.8/2400=0.69=70%. Hii maana yake ni nini? Ikiwa simu yako imeisha chaji na unataka kui-charge kwa kutumia Power Bank iliyokuja nayo, basi chaji itajaa up to 70% of the total charging kama ungetumia kw
ALETAenye umeme! Kutokana na hilo, utaona kwamba it's just one time recharging power bank.
When we say one time recharge power bank si kwamba ukishaitumia mara moja ndo basi tena, la hasha! Ukishaitumia, unatakiwa na yenyewe baadae ui-chaji ili uweze kuitumia tena in case upo out of power reach.