Recent content by kirema

  1. K

    Heshima ya CPA holder ma Masters inashuka sana.. Nini kifanyike?

    Nowadays Artificial intelligence-Tuwashauri vizuri vijana na watoto wasomee taaluma gani,not necessary carrying loads of subjects while you’ll never use them in life application .
  2. K

    Takribani wanafunzi 1,129 wame-disco UDSM na wengine zaidi ya 7,000 wanatakiwa kurudia mitihani yao

    Wasome,kama walipikiwa matokeo huko sekondary Sasa hakuna njia,simu kuuubwa na disco na movies na gest-Acha wakamatwe ili tuwe na wataalam bora
  3. K

    Nilifanya ujinga kumsomesha mdogo wangu wa kike

    Correction eliminate =Elimu
  4. K

    Nilifanya ujinga kumsomesha mdogo wangu wa kike

    Take it easy and positive brother.She won’t be the same after delivery.Huyo mjukuu atakayezaliwa anaweza kuja kumtoa kimaisha And it’s possible also akapata namna nyingine ya maisha na eliminates baada ya kujifungua
  5. K

    Kuna wenye bahati zao, wengine wanalilia watoto dadaa amepata 4 mara moja

    Mungu awakuze watoto wote katika hekima na kimo wampendeze Mungu na wanadamu pia, Hongera kwa wazazi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Dar inawapotezea watu muda

    Wala Dar haijawapotezea muda,hapa mlikuja kusoma mlipofaulu mkarudi mkoani kupambana.Kama mlifikiri mikoani kuna maendeleo Kwa nn hamkufanikiwa kabla hamjaja Dar????
  7. K

    Kuanzia leo mimi sio muumini tena wa Kanisa Katoliki

    Yesu alisema Waacheni watoto wadogo waje kwangu msiwazuiye kwa maana ufalme wa Mungu ni wao,Swala la ubatizo wa mtoto na mwenendo wa wazazi au walezi kiimani halina uhusiano kwa Mungu-Tena bro Mungu anaangalia ndani ya mioyo yetu na aangalii hayo wanayoyaona mapadri na wachungaji kwa nje...
  8. K

    Huduma katika Uwanja wa Ndege wa JNIA-Dar es Salaam.

    Ndugu wanajamvi Napenda kuwasilisha hali ninayoiona hapa airport kwa kweli si nzuri, Huduma Za matangazo si nzuri-Spika Za matangazo hazitoi Sauti,hata ndege ilichelewa au kutua huwezi kusikia vizuri,no Buoy ni vichafu,hakuna vitendendea kazi,sabuni hakuna nk Viti vya kupumzikia hakuna vya...
  9. K

    Looking for a handsome man aged 32 - 40

    Chema chajiuza,Kibaya chajitembeza
  10. K

    Mume wangu hahudumii familia

    Mwambie akasome ustawi wa jamii ili ajue kulea Familia.Anaogopa changamoto Za maisha ndo maana anajificha shuleni kwamba aonekane anasoma-na hiyo ada ya Mahabharata wote kwa miaka 17 anasoma elimu gani
  11. K

    Nani HATAKI/HAWATAKI SERIKALI TATU ???

    Kwa nn isiwe serikali moja.Zanzibar inakuwa mkoa kama Nansio ukerewe ilivyo wilaya tu.HILO WAZO
  12. K

    Mdahalo wa Mwl.Nyerere foundation kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa Ubungo Plaza

    Unajua dhambi mbaya sana....ndo itakayowatafuna sisiyenu....ukianza kutukana wazee umekwisha Huyu Waasira ni mtu wa kimkejeli warioba kweli?leo shoka moja mbuyu chini.
Back
Top Bottom