Wapo wanaotaka serikali tatu na wapo wanaotaka serikali mbili na tunaamini wote wanafanya hivyo kwa nia nzuri kabisa. Nani mwamuzi? Mwamuzi ni Wananchi katika maoni yao kama yalivyo katika Rasimu ya Katiba Mpya.
chadema wanataka serikali tatu ili watawale bara kwa sababu hawakubaliki zanzibar. cuf nao wanataka serikali tatu kwa sababu hawakubaliki bara.ili watawale znz. janja ya nyani kula hindi bichi, tumewatambua na tumestuka.