Vp kuhusu kuunganishwa na huduma ya advance salary maana nimeenda tawi mojawapo la NMB naambiwa niwe na barua ya mwajiri wangu je ndo taratibu mlizonazo kwa sasa kwa mteja aje na barua ya mwajiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.