YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Nimeona kwa muda mrefu daladala zikiwa zimejaa unakuta kuna Wanawake wajawazito wamekosa viti wamesimama huku wanaume wakiwa wamekaa tuli hawawapishi.
Mara nyingine mianaume isiyokuwa na haya unakuta inajitia kuongea kuwa Wanawake waliokaa kwenye viti Wana roho mbaya hawataki kupisha wanawake wenzao Waja wazito wakae.
Wanaume ndio wanatakiwa kuinuka kwenye viti kupisha mimba zao zikae.
Mimba mtie nyie wanaume halafu viti wapishe Wanawake.Mkome kabisa maruhuni nyie.Nyie ndio mnatakiwa kuinuka sio ombi.
Mara nyingine mianaume isiyokuwa na haya unakuta inajitia kuongea kuwa Wanawake waliokaa kwenye viti Wana roho mbaya hawataki kupisha wanawake wenzao Waja wazito wakae.
Wanaume ndio wanatakiwa kuinuka kwenye viti kupisha mimba zao zikae.
Mimba mtie nyie wanaume halafu viti wapishe Wanawake.Mkome kabisa maruhuni nyie.Nyie ndio mnatakiwa kuinuka sio ombi.