Chongolo huna lolote bango mmeliandaa Kwa makusudi Na mmeamua kulipitisha mchana kweupe mbona viongozi wenu hawakulikemea palepale uwanjani Na walikuwepo? Malipo ya dhambi hiyo in hapahapa duniani Mungu anaona dhuluma mnayoifanya Bara na Visiwani ya Uchaguzi
Ya wenje yanakujaje? Suala in Bango la Kibaguzi ni Aibu kubwa mbele ya Viongozi wakuu Wa CCM wanaccm wanapita Na bango la Ubaguzi nilitegemea uongozi makini ungekemea palepale kuonyesha kushtushwa Na bango hilo.
Haiwezi kwisha mpaka zoezi la serikali kuhamia Dodoma litekelezwe.Baba Wa Taifa alitaka kuufanya mji Wa Dodoma uwe Wa shughuli za serikali Na Jiji la Dar liwe la biashara .Nchi kama Nigeria zimefanya hivyo Na Afrika ya kusini.Badala ya watu wote kuja Dar ,wale wenye masuala ya serikali wanaenda...
Unapochaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge in sharti ule kiapo Bungeni mbele ya Spika.Mh.Rais ametumia nafasi zake kuteua wabunge miongoni akiwemo Waziri Wa Fedha Na mawaziri wengine kama 5. Je wateule hao waliapa kiapo cha bunge ? Kama hawakuapa Sheria inasemaje ? Je kuapa kiapo cha uwaziri bila...
Nimeshangazwa sana Na viongozi Wa dini zetu hapa Tanzania Kwa ukimya wao juu ya bango la ubaguzi lililoandaliwa Na CCM Na kupitishwa mbele ya viongozi mbalimbali Wa nchi hii Na mabalozi katika Uwanja Wa Amaan .
Viongozi hao wakati Wa uchaguzi mkuu Wa mwaka 2015 walimwandama Mh. Lowassa Wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.