Waandishi wetu na Vichwa vya habari vya magazeti

lifuen2015

Member
May 15, 2015
93
13
Baada ya kuona kichwa cha habari kikubwa cheusi kimeandikwa,nimeshtuka nakuona uandishi wa aina hii, hauna uzalendo na ni hatari kwa taifa na ni uchochezi (sedition).

Huwezi mtu andika kwa ubashiri wa kumwaga maana ujue umwagaji damu ukifika hata ya kwako kama mwandishi itamwagika.

Kuweni makini waandishi wetu jamani.
1452774777239-1101623333.jpg
 
Last edited by a moderator:
Bora wanaosema ukweli kuliko wanaoficha ukweli wakidhani wao ndio wazalendo kumbe ndio virusi.
 
Itamwagika Ya Nani Sasa.Mawazo Amehubiri Damu Itamwagikaaa Patachimbika Na Kweli Damu Ilimwagika
 
Baada ya kuona kichwa cha habari kikubwa cheusi kimeandikwa,nimeshtuka nakuona uandishi wa aina hii, hauna uzalendo na ni hatari kwa taifa na ni uchochezi (sedition).

Huwezi mtu andika kwa ubashiri wa kumwaga maana ujue umwagaji damu ukifika hata ya kwako kama mwandishi itamwagika.

Kuweni makini waandishi wetu jamani.
View attachment 316836
Kuna kitisho cha wazi Zenji
 
Walitakiwa waweke picha ya shein na jecha hao ndo vinara wa hicho kitakachotokea hivi mnadhani leo yatokee yakutokea seif atapelekwa thé hegue kama sio jecha na shein
 
tatizo waandishi wetu hawana weredi wanatumia ushabiki sana kuliko usanifu wa kaz yenyewe mi mwenyew nmesoma gazeti la mawio cjui kwa vile mwandishi ni wa bara ndo maana kaandika ivo
 
Katika uandishi,waandishi watatusaidia kuna maadili,na pia mwandishi anapoandika kuna malengo anayotaka,kuyafikia,lakini malengo kimaadili yasiwe yale ya uchochezi,ama ubashiri,alipaswa kusubiri hiyo damu,imwagike ndo aandike,sasa yeye anajua itamwagika lini,Mungu yupo haiwezi mwagika na wala si utabiri wa kheri ni shari amepotoka
 
Back
Top Bottom