Recent content by kipande cha mtu

  1. K

    Wanao Apply Koz Za Afya Chuo Lini?

    salam kwanza ndo muhimu.. !!!kuna wanaoenda mwezi wa NNE na wengine mwezi wa Tisa.....!!!!mwezi w NNE ni kwa baadhi ya vyuo
  2. K

    Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

    ikitokea ulichaguliwa kwenda chuo....ila kutokana na mambo ya kifamilia hukwenda chuo kuripoti.....je kuna uwezekano wa kuomba tena na ukakubaliwa?
  3. K

    Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

    ni pm.....au call me 0689930075
  4. K

    Wale wa Clinical Medicine

    Habari zenu wakuu, Uzi huu ni maalumu kwa wale ambao wanahitaji kwenda kusomea kozi ya clinical medicine tu. Tutajuzana kuhusu mpangilio wa masomo,namna ya kupata GPA nzuri na mengine mengi yenye kuleta maendeleo. Karibuni.
  5. K

    Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

    solution nenda kafanya direct application chuo husika....!!!
  6. K

    Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

    mi pia ndugu.....!!!kuna mdogo wangu ni mhanga kwenye hili
  7. K

    A-level au Diploma?

    mpeleke diploma...ni njia ya uhakika!!!mi ni mhanga kwa hilo.....huwa najuta kwenda advance...!!!kwa sasa nipo diploma ya medicine
  8. K

    Msaada: Naomba kujuzwa sifa za kujiunga ualimu ngazi ya cheti

    anaweza kusomea certificate ya clinical medicine....kwa ushauri ni pm au nipigie 0689930075
  9. K

    Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

    nimekutana na tangazo la wizara...kuna tangazo limetolewa kwamba kuna vyuo wanataraji kuanza masomo 18/4....!!!mwisho wa application tarehe 31/3...!!!limenichanganya mno....!!maana kuna tangazo walisema mwisho 31/5....!!!msaada jamani
  10. K

    Njoo Decca College of Health and Allied Science

    unavifahamu vyuo vya mitaani?unajua vigezo mpaka chuo kipewe usajili wa kudumu?kwa taarifa chuo kimepewa kibari maalum kufanyia mazoezi yake kwenye hospital ya rufaa..pia kina usajili wa kudumu toka nacte....INA maana chuo kimekidhi vigezo vyote vya nacte!!!
  11. K

    Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

    never.... never...never!!! hauwezi wewe...
  12. K

    Njoo Decca College of Health and Allied Science

    sioni jibu LA kukupa....mazoezi yanafanyika general Hospital ...ada Mimi nalipa mil 1.6......awamu tatu!!!3.4+16 ya wapi
  13. K

    Njoo Decca College of Health and Allied Science

    kwenye guidebook ile ni ada elekezi tu....tusomao hapo ndo tunajua....kuna hospital ya vitendo(practical)hatua kumi tu kutoka chuoni
  14. K

    Njoo Decca College of Health and Allied Science

    acha kupotosha jamii....tuition fee ni 1.6 mil!!!kwa hostel ni 3000000...!!!!!hii ni kwa upande wa sisi wa diploma....!!!na kumbuka hakina magumashi maana kina usajili wa kudumu....!!!!!!na kumbuka hiki ni chuo cha afya na sayansi shirikishi...!!!!!!
Back
Top Bottom