kipande cha mtu
Member
- Sep 26, 2015
- 50
- 2
Habari zenu wakuu,
Uzi huu ni maalumu kwa wale ambao wanahitaji kwenda kusomea kozi ya clinical medicine tu.
Tutajuzana kuhusu mpangilio wa masomo,namna ya kupata GPA nzuri na mengine mengi yenye kuleta maendeleo.
Karibuni.
Uzi huu ni maalumu kwa wale ambao wanahitaji kwenda kusomea kozi ya clinical medicine tu.
Tutajuzana kuhusu mpangilio wa masomo,namna ya kupata GPA nzuri na mengine mengi yenye kuleta maendeleo.
Karibuni.