Recent content by kiokosa

  1. K

    Wilibrod Slaa: Katibu Mkuu adimu kuwahi kutokea CHADEMA

    Hivi mpaka Leo hamjafahamu kuwa chama hicho msingi t na malengo yake ni yapi tabia ya kioya kinyemi kitazidi kuwa angamiza
  2. K

    Figisufigisu za TFF chini ya Malinzi na kuweka wahaya kila sehem malipo yao nikuakikisha Kagera auge

    Mwalimu alisema kuhusu makabila Fulani hapa nchini na utawala na tuliona ukweli wake lakini watu wakitamka Leo inakuwa nongwa mkoje ninyi watu
  3. K

    Tanzania and mozambique gas production set to overtake russia

    Acheni kelele sasa profesionals are in control yes;;;;
  4. K

    Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

    Upara Wa kuzaliwa au Wa kunyoa
  5. K

    Naomba kutoa ushuhuda wa uchaguzi wa mwaka 2005 uliomweka Rais Kikwete madarakani

    Ushuhuda Wa 2005 khaa !sisi forcus in 2020 sasa Kwisha. hapa kazi tuu
  6. K

    Nini Kilimkuta Dr Ferdinand Masako?

    To a ufumbuzi au ni kuendrleza chuki
  7. K

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Umepataje habari na kuziamini kiasi cha weee kuzisambaza ns udhindee kupats ushahidi kama sio umbumbu
  8. K

    Kashfa ya Stanbic: Serikali inaweza kutuambia ni kwanini waliotajwa na SFO hawajakamatwa?

    To a majina.yao. picha zao na kiadi walichochukua
  9. K

    Rais Mstaafu Kikwete akataa kuishi Msoga? Anataka kuishi wapi?

    Anahiari kuishi anapotaka kwsni sasa no RAIA guru.kwa kuwa mmeshika uchumi.nskudhoofisha kwa kutolipa kodi mkadhani mtashika nchi kawafiski poleni sana!!
  10. K

    Prof. Issa Shivji auchambua utawala wa Rais Magufuli

    Naomba mwaka tundu lisu aliotunukiwa master na PhD tafadhali
  11. K

    Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

    Umbile si hoja ila unajiwekaje usafi kauli na kujieshimu mechi si sababu mbona wengi mnakuwa vimada zingatia hayo
  12. K

    Manji: Nchi yangu hainithamini

    Hoja si rangi . kabila wala dini swala ni maadili na uzalendo.habari ya viwanja vya waislam Wa mbagala .magodown ya ppf nk.unazifahamu kuhusu kanji Angalirni ndugu zangu njaa itawaponza.
  13. K

    Utata wa kifo cha Mwalimu Julius K. Nyerere: Siri zaidi zafichuka

    Sioni kama yana tija katika ujenzi Wa Tanzania mpya tusimamie agenda moja ya majipu . kwanza
Back
Top Bottom