mkuu kweny hiyo ishu ya kisindano hta mie ilishawah nitokea, na kalikuwa kadogo sana nlipomuulza ni cha kazi gan, ndipo akaanza kupindsha maneno ila coz nlikuwa nafaham ikabd nmtimue, afta 2deiz alkuja akaomba msamaha na nlipomuulza why aliweka ndo akanambia alikua anatka ahakikishe km ni kwel...
Hatimaye Jery muro amepata fursa ya kuuzungumzia mchezo wa ligi kuu kati ya Simba na Yanga; namnukuu; "Kiukwel yanga ndo iliyotengeneza nafas nying za magoli lkn washambuliaj hawakua makin, hta goli walilo tufunga ni la kubahatsha kwan lilikuwa ni la mbali mno"
Daaaaaaah...kwel huyu jamaa bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.