mpaka ameshatolewa miss world ndo anapewa.mimi naona angenyimwa tu maana ameshashindwa!!!!. ataishiwa kuwa kama wema na jokarte tu. Vijana wa mjini wakae mkao wa kula
Tatizo kubwa hapa ni mwanaume anayetaka kuoa. Sheria inasema uoe kwanza ndio uonje. kama angetangaza ndoa rasmi lazima wasamalia wema wangemtonya. hizi sheria zina maana yake na ukijifanya kukwapua lazima upatikane. POLE CHUKUA ZIGO LAKO NA URUDISHE MAHALI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.