Recent content by Kinyayo

  1. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Fahamu Majina ya kinyakyusa na maana zake

    Mwamnyange,Tukusanye,Tusiime,Mwang'onda na Mwamakula
  2. Kinyayo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alikuwa mpenzi wangu, akaolewa, sasa wameachana na mume wake anadai ananipenda. Nifanyaje?

    Ni lissa ety
  3. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Makomandoo wa Korea Kaskazini wamewasili Burkinafaso

    Haya basi, hapa kuna muhtasari wa uwezo wa J-35A (FC-31) kwa undani zaidi: 1. Idadi ya Watu: Mmoja (1) – Rubani mmoja tu. 2. Vipengele vya Kiufundi: i. Uwezo wa Stealth (kutogundulika kwa urahisi na rada): Imetengenezwa kwa sura na vifaa vinavyopunguza mwonekano wa rada (Radar Cross...
  4. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Kumegeka kwa CHADEMA ni matokeo ya uongozi mpya kukosa maono, kukosa angenda za kuiunganisha na kukurupuka

    Hahaha 😆 jipu lipasukapo lenyewe humpuguzia mwana gharama.
  5. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania ipo tayari kukabilian na vikwazo kutoka umoja wa Ulaya?

    China,UAE na RUSSIA .wachoyo hahaha 😆 😂 🤣 😅 😄 😆 😂 🤣 😅 😄
  6. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu kupelekwa mahakamani na wananchi waruhusiwa kwenda kusikiliza. Kesi kuendelea Mei 19, 2025

    ALART MAMLUKI WASIJE KUHARIBU USIKIVU WA KESI ILI TENA KURUDISHWA MTANDAONI . Kuvuruga Usikilizaji kwa Ghasia Kutuma watu mahakamani kwa lengo la kuchochea vurugu ili kesi isitishwe na irudishwe mtandaoni. Mara nyingine watu huvaa mavazi ya wahusika wa upande fulani na kisha kufanya fujo ili...
  7. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Nilivyonasa kwenye mtego wa simu za mkopo

    Mwenye machine ya Samsung Galaxy AO5 isiyo na kipengele ani-PM. Tafadhali siyo simu ni Machine.
  8. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Nilivyonasa kwenye mtego wa simu za mkopo

    Kama umeokota simu ya mkopo ufanye je?
  9. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Barua rasmi ya Tundu Lissu kwa Watanzania kutoka gerezani Ukonga

    Katika sheria za kimataifa, mgomo wa kula unaofanywa na mfungwa wa kisiasa ni suala nyeti linalogusa haki za binadamu, maadili ya kitabibu, na wajibu wa kisheria wa taasisi za kifungo. Hapa kuna athari kuu na mitazamo ya kimataifa kuhusu jambo hili: 1. Haki za Binadamu Mfungwa wa kisiasa ana...
  10. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania KWANINI UKOPE

    Kwa 🇹🇿 wakopaji wengi ni kwa ajiri ya kugharamia vitu vya anasa au vinavyooo furahisha tamaa zao za kimwili si vinginevyo!
  11. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa Kuingiza Nchi Kwenye Machafuko

    Chawa Promax. Bigg nonsense!!
  12. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kunyongwa kwa Tundu Lissu itakuwa ni doa kubwa kwa vyombo vya usalama

    1. Machafuko ya Ndani na Maandamano Tundu Lissu ni kiongozi wa upinzani mwenye ushawishi mkubwa. Hukumu ya kifo kwake inaweza kusababisha: Maandamano makubwa kote nchini. Machafuko ya kisiasa na kijamii. Kuongezeka kwa mgawanyiko wa kisiasa kati ya serikali na upinzani. Migogoro kati ya...
  13. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Ulinzi Uimarishwe Kisutu

    Hawa ni wale fake protestors, kipindi Gen-Z wa Kenya wanaandama, tulishuhudia fake protestors, wengi wana masks,na mapanga wa kipora ili kuwasaidia police kenya, sababu za kupinga maandamano ya kweli,the same applied ni hiki
  14. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania Mahmoud Abbas amechanganyikiwa. Isingekuwa ulinzi wa Israel Hamas wangemuweka ndani

    Rais Abbasi kachelewa,angalia Palestina ilivyo chalazwa na majeshi ya Israeli.
  15. Kinyayo

    JamiiForums Tanzania NYUMBA INAUZWA,IPO KUNDUCHI BEACH,BEI NI BILLION 2,MAONGEZI YAPO, SIMU 0758844717

    Bora ununue upanga au krkoo vipo viwanja vya bilioni 2.Nyumba ina kipi cha Bilioni 2 Haina uwanja mkubwa, bustani, Bwawa na parking?
Back
Top Bottom