Recent content by kinyala

  1. K

    Niko tayari kuolewa na muislamu

    Nifate inbox
  2. K

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    nakumbuka benki ya taifa ya biashara ohhh inaudumia kila mara oohhh
  3. K

    Mauaji ya Tanga: Ushauri kwa vyombo vya ulinzi

    mkuu umenena sana..inabidi lichunguzwe kwa undani na wana ulinzi na usalama
  4. K

    Msaada kwenye tuta, Makao makuu ya UNILEVER yapo wapi?

    panda gari ya nyerere road shuka kituo kinaitwa banda la ngozi thn utaona jengo la manji quality plaza na kuna bank crdb jengo linalofata ni unelever...kabla mataa ya kwenda veta
  5. K

    Buhohela analipwa na ITV, Magufuli au CCM?

    Na spencer lameck keshalamba mlungula anampromote sana mamvi
  6. K

    Buhohela analipwa na ITV, Magufuli au CCM?

    Yule kimada wa lowassa jamila omary ni zaidi ya buhohela..
  7. K

    Kauli ya Kikwete Uzinduzi wa Mitambo Kinyerezi Dar es salaam

    Ukawa wagumu kuelewa...alimaanisha alipoingia madarakani oct 1995 alikuta mgao thn anatoka oct 2015 anaacha mgao....c kwamba miaka 10 yte mgao....watu gni mlio negative kwa watawala wenu..
  8. K

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa, Musoma mjini - Oktoba 11, 2015

    Ccm vichwa sana ukawa kwisha kabisa..kwa hii press ya leo magufuli anajiongezea ushindi tuuu....ccm oyeee
  9. K

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa, Musoma mjini - Oktoba 11, 2015

    Aiseh magufuli ana akili sana..kura yangu kaipata achaneni na hao wapiga deal wasio na tija...wamekuwa waziri wakuu wakitufanyia nn hapa pombe tuuu genge la walanguzi 2a ukawa tupa kule
  10. K

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa, Musoma mjini - Oktoba 11, 2015

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tunapenda kuwataarifu wanachama wetu na umma wa Watanzania kuhusu masuala yafuatayo: Mwenendo wa Kampeni za CCM Mgombea Urais wa CCM, Dkt. John Pombe Magufuli, na Mgombea Mwenza, Ndugu Samia Hassan Suluhu, wameendelea kufanya kampeni katika maeneo mbalimbali...
Back
Top Bottom