Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Wadau, amani iwe kwenu.
Siku zote Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu. Nami nimeapa kusema kweli daima na unafiki kwangu ni mwiko.
Hebu wale wanaoshabikia CHADEMA na UKAWA jiulizeni, wapi mnaelekea? Nini mnasimamia? Nani adui wenu? Nani rafiki yenu? Je uliwahi kuendesha baiskeli kwenye mteremko mkali na kwa bahati mbaya Breki ikakatika? Imagine hali kama hiyo inajitokeza wakati unashuka mlima Kitonga kwa basi, nini kitatokea?
Ndivyo walivyo CHADEMA sasa. Naliona anguko kubwa juu yao. Hawajui wapi walipo na wapi wanaelekea. Hawajui wanasimamia nini hasa tofauti na kuvizia nini Rais anaongea.
Mtifuano ndani ya CUF hautawaacha salama. Nawaona wakipoteza majimbo yote ya Tanzania Bara. Naiona CUF ikirejea kuwa chama cha Visiwani tu.
CHADEMA nao hali si shwari. Nawaona wakipukutisha majimbo mengi ambayo waliyatwaa kwa bahati mbaya.
Magufuli na sera yake ya Hapa Kazi Tu imewaingia barabara wananchi. Wameachana na siasa za kilaghai.
Tukutane 2020
Siku zote Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu. Nami nimeapa kusema kweli daima na unafiki kwangu ni mwiko.
Hebu wale wanaoshabikia CHADEMA na UKAWA jiulizeni, wapi mnaelekea? Nini mnasimamia? Nani adui wenu? Nani rafiki yenu? Je uliwahi kuendesha baiskeli kwenye mteremko mkali na kwa bahati mbaya Breki ikakatika? Imagine hali kama hiyo inajitokeza wakati unashuka mlima Kitonga kwa basi, nini kitatokea?
Ndivyo walivyo CHADEMA sasa. Naliona anguko kubwa juu yao. Hawajui wapi walipo na wapi wanaelekea. Hawajui wanasimamia nini hasa tofauti na kuvizia nini Rais anaongea.
Mtifuano ndani ya CUF hautawaacha salama. Nawaona wakipoteza majimbo yote ya Tanzania Bara. Naiona CUF ikirejea kuwa chama cha Visiwani tu.
CHADEMA nao hali si shwari. Nawaona wakipukutisha majimbo mengi ambayo waliyatwaa kwa bahati mbaya.
Magufuli na sera yake ya Hapa Kazi Tu imewaingia barabara wananchi. Wameachana na siasa za kilaghai.
Tukutane 2020