Mimi ninachojua GSM ni mfadhiri na mdhamini wa club yangu pendwa , hayo mengine hayanihusu, Kila mtanzani hata mleta mada ni mwizi tu sema hajapata nafasi ya kuiba.
Alale salama JPM. Nchi ilipofikia hata ukiwa mzalendo vipi utaishia kuumizwa wewe na familia yako na hao wajilia keki ya Taifa...
Unajua kwanini nimekwambia vile? Kwasabb huna akili kabsa jambo jepesi kama hili unashindwaje kuchukua hatua? Mali za mkeo ni zako na watoto wenu lkn wewe upo tu unatembea umebeba kichwa kama mzigo.
Kama watoto unaishi nao maana yake hata Kama ungekuwa huna ndoa na huyo marehefu bado Mali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.