Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Tatitizo ni malezi,ingekuwa wazazi,toka watoto wako wadogo,wanawalea na kuwapa muongozo wa maisha,wasingejiingiza kwenye mambo yasio na maadili,wangejitambua.Wakati wa sasa watoto wengi,wanakuwa kwenye shule za bweni,bila malezi sahihi ya wazazi.Hivi hizi huwa ni imani gani?
Maana sio mara ya kwanza kuona watu kama hawa
Mara wengine wanakanyagwa wengine wanaambiwa wavue nguo na wengine kulishwa majani na wengine kunywa petrol huko South Africa
Yaani kuna watu wana imani za ajabu dunia hii especially Africa